Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na ww 100%Kama hakuna Vifo basi haya yanaweza kuwa ni planed kwa malengo maalum au kinyume chake ,na bado.
Dawa ipi mkuu?Ndio dawa pekee iliyobaki
Nipo Sinza ila wewe nenda Liwale wanakokutafuta kwa kuchoma magari na nyumba siku baada ya uchaguzi😁😁😁,nikukute wapi sasa ili nijitokeze!
Ya siku nyingi mkuu na wahusika walishakamatwa.Bad story - wananchi acheni kulipa baya kwa baya - lipeni jema kwa baya lolote mlotendewa
Nami niko Sinza C,niko nazimua hapa Traffic jam bar,opposite na njia panda ya kuelekea UDSM!Nipo Sinza ila wewe nenda Liwale wanakokutafuta kwa kuchoma magari na nyumba siku baada ya uchaguzi
Una maana roundbout ya kuelekea UDSM au?Nami niko Sinza C,niko nazimua hapa Traffic jam bar,opposite na njia panda ya kuelekea UDSM!