Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,095
maneno mengi bila ya data hayasaidii
mmepiga hatua 20 nyuma
mmeenda 2 MBELE halafu mnajipongeza hahahaaaaaaaa
ccm bwanaaaaaa
kusini tumewachokkaaaaaaaa
maneno mengi bila ya data hayasaidii
Tusubiri matokeo kamili. Hizi porojo za Kinondoni tumezichoka sasa
tunataka mtaje mshindi ni nani acheni usanii bado mna kazi kubwa kuitoa ccm
pimbi wewe, njoo huku mtaani hatujalala tunashangilia ushindi, wapinzani hatuna fujo , fujo wanaanzisha ccm kwa kukataa matokeo, hamtuwezi kwa kura.Maneno mengi bila ya data hayasaidii
Tunataka mtaje mshindi ni nani acheni usanii bado mna kazi kubwa kuitoa ccm
Tusubiri matokeo kamili. Hizi porojo za Kinondoni tumezichoka sasa
Maneno mengi bila ya data hayasaidii
"CCM ikiwatenga wananchi,wananchi wataikataa"Mwl.Nyerere,former chairman of CCMHuko kwenu wapi? Hakuna jina?
mkuu tunajua unamahaba sana na ccm. ushauri wangu kama mtanzania mwenzako, hebu tuungane kuuondoa huu ujinga wa kubeba fedha zetu kwenye magunia wakati watanzania wenzetu hawana hata panadol mahosipitali wala maji majumbani.Maneno mengi bila ya data hayasaidii
HUku kwetu watu hawataki kusikia kitu kama CCM! Wanathubutu kusema wewe ni ccm na kama binadamu tunakupenda lkn ondoka basi huko ili tukpende zaidi! Mambo ni magumu hasa vijijini ikizingatiwa kuwa vijana wamekuja juu sana!!
ccm wamezoea unafiki. kusema gesi ni mali ya taifa sio ya wanamtwara peke yao haikua kosa. sasa kama wananchi wamekasirika na kuwabwaga kwenye uchaguzi ni kwa ajili ya dhambi nyingine nyingi za ccm.Hali ni tete huko Lindi na Mtwara kwa CCM. Matokeo yanayotufikia hapa Ofisi Ndogo za Chama,Lumumba si vutizi. UKAWA wametupoka sehemu nyingi huko.CUF imetamalaki. CUF imetetea mitaa yake na kupoka mingine toka CCM.Wana-Lindi na Mtwara hatimaye wamelipa kisasi na kuonesha kinyongo chao juu ya sakata la gesi asilia.
Kipigo cha gesi kimejibiwa na kipigo cha kura. Sijui mwakani itakuwaje. Wana-Lindi na Mtwara tusameheni jamani.Tuliteleza.Hatutarudia tena.Safari hii mkiliona jeshi huko basi liko Kambini au limekuja kujenga madaraja na miundombinu mingine.
Kujikwaa si kuanguka.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hapa kwetu, kati ya mitaa 71 ccm imeshinda mitaa 4 tu. Viva CDM.
Tunataka mtaje mshindi ni nani acheni usanii bado mna kazi kubwa kuitoa ccm
Huko kwenu wapi? Hakuna jina?
Maneno mengi bila ya data hayasaidii