Lincoln - Douglas style debate: Ngabu vs Makamanda

Lincoln - Douglas style debate: Ngabu vs Makamanda

Mwenye Shibe hamjui Mwenye njaa.
Wewe ushashiba .
Majadiliano ya nini wakati Hali halisi inajionyesha.
 
Inaonekana upande ulouchagua hauna hoja hadi umeamua kutafuta debate. Kila la heri
 
Tokea viroba vipigwe stop makamanda wameweuka mpaka huruma saivi wanaishi kwa kudra za gongo
 
I'm throwing down the gauntlet for a Lincoln - Douglas style debate vs any kamanda out there.

Yeyote yule, popote pale, muda wowote ule, na kuhusu chochote kile...niko tayari ku debate na kamanda yeyote yule.

Kama hakuna mwenye ujasiri wa ku debate na mimi mano a mano basi mnaweza hata kujikusanya hata 100.

Yep...Ngabu vs Makamanda 100.

So bring it on makamandas. I'm ready to open that can of whup ass on you all [emoji109] [emoji109].
Albadir siyo mchezo matokeo yake yanajidhihirisha hadharani!!!......... Msalimie mshumbuzi!
 
Tokea viroba vipigwe stop makamanda wameweuka mpaka huruma saivi wanaishi kwa kudra za gongo
Viroba viko special kwa ajili ya Lumumba
ce938f1ca2a4e1d26878949f5ed907dd.jpg
 
Ngabu kasema "bring it on bona mnasuasua jamani. Kutwa nzima si huwa mnatukana humu. Sasa saizi yenu kaja mnalia. !
Ngabu humu ndani hakunaga makamanda kwani wale waliokuwa wanasadikiwa kuwa makamanda wa ukweli walitoa machozi mahabusu, wengine wali fall ill ghafla mpaka kupelekwa hospitali, wengine walipowaona polisi walijificha kwenye mahakama chini ya meza wengine kutimua mbio. Hakuna cha ukamanda hap. Hii ligi umeshashinda bro!
 
Mtafute mwenzako Deo Kisandu usilete ujinga wako hapa.
Debate for what???umekimbia nchi yako afu unakuja kutuletea uchakaraa hapa.
hahahahahahah,,kwakweli yeye na Deo wanalingana...hahahahahhaa...dah..umenichekesha sana
 
Makamanda Wana malalamiko mengi kila siku. Wanaongelea kuminywa kwa Uhuru wa habari, bunge live, kupihwa risasi Lissu, kupotea Ben Saanane, demokrasia, njaa, uchumi kuanguka, hela kupotea mtaani, Maisha kuwa magumu, ndege kushikiliwa nje, madini Na makinikia, Magufuli Na Serikali ya Awamu ya Tano...eew!

Sasa wameitwa kwenye mjadala/debate wameanza kutoa matusi Na hakuna hata mmoja anayekuja Na hoja. Nimewawekea hapo juu baadhi ya madai yao ili wachuje wapate hoja za mjadala.
 
Makamanda Wana malalamiko mengi kila siku. Wanaongelea kuminywa kwa Uhuru wa habari, bunge live, kupihwa risasi Lissu, kupotea Ben Saanane, demokrasia, njaa, uchumi kuanguka, hela kupotea mtaani, Maisha kuwa magumu, ndege kushikiliwa nje, madini Na makinikia, Magufuli Na Serikali ya Awamu ya Tano...eew!

Sasa wameitwa kwenye mjadala/debate wameanza kutoa matusi Na hakuna hata mmoja anayekuja Na hoja. Nimewawekea hapo juu baadhi ya madai yao ili wachuje wapate hoja za mjadala.

Teh teh teh...makamanda ni watu wa mihemuko tu.

Wajuacho ni matusi tu.
 
Ukiona unaweza kumtofautisha deo kisandu na nyani ngabu basi ukapimwe akili, nyani always nyani tu
 
Back
Top Bottom