Lincoln - Douglas style debate: Ngabu vs Makamanda

Lincoln - Douglas style debate: Ngabu vs Makamanda

Kafanye kazi kama hauna kazi kabishane na mange insta...
 
Makamanda mbona wanalialia tena!! wakina salary slip, swime, chakii fransis 2 mwanahabari huru mbona hamtokei nini shida?
 
Mtafute mwenzako Deo Kisandu usilete ujinga wako hapa.
Debate for what???umekimbia nchi yako afu unakuja kutuletea uchakaraa hapa.
Jamani kisandu yupo? Nina hamu sana ya kupitia makala zake maana ni zaidi ya comedy....pia hushughulisha ubongo zaidi ya wiki nzima kumwelewa ndugu deogratius kisandu....atakapotoa chapisho lake tafadhalini sana muni tag.
 
Sijui wenzangu mnaonaje ila me naona kama members wakongwe wameanza kupata kichaa baada ya members chipukizi kulitawala jukwaa. Sasa wakongwe wamekuwa wasaka kiki
 
Makamanda hadi wavizie Tundu Lisu kasema nini ndo wadakie......get well soon TL
 
Mt
I'm throwing down the gauntlet for a Lincoln - Douglas style debate vs any kamanda out there.

Yeyote yule, popote pale, muda wowote ule, na kuhusu chochote kile...niko tayari ku debate na kamanda yeyote yule.

Kama hakuna mwenye ujasiri wa ku debate na mimi mano a mano basi mnaweza hata kujikusanya hata 100.

Yep...Ngabu vs Makamanda 100.

So bring it on makamandas. I'm ready to open that can of whup ass on you all [emoji109] [emoji109].[/QUOTE
Mtoto wa watu ngabu msalimie shemeji kibabu
 
Sijawahi kuona umepost kitu cha kisomi alafu unataka kubishana na wasomi (makamanda)...chizi umetuibia nguo nasi tukikukimbiza, sisi ndio tutaonekana machizi....
 
I wasn't going to dignify this with a response but the level of idiocy embedded in each and every one of your thread baffles me. We are led to believe there is a brain drain going on but you my friend are a good riddance. Go play with your daddy's balls, he must be turning in agony wherever he is.
 
I wasn't going to dignify this with a response but the level of idiocy embedded in each and every one of your thread baffles me. We are led to believe there is a brain drain going on but you my friend are a good riddance. Go play with your daddy's balls, he must be turning in agony wherever he is.
Duh....
 
Back
Top Bottom