MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #81
...unalo hilo! ...umepatikana ee? usinambie nawe ushakumbwa na dhoruba ya mapenzi.
Hongera Mwj1...LOL!
........................Hahaaaaa Mbu bwana we acha tu......................... sijakumbwa Bwana mie nafanya reflection tu maana ah.........ahca tu. Kuna wakati nilikuwa najisikia nguvu zinaniisha.....kisa penzi kudaaaadake naingia kwenye mabanda ya kuku kuhudumia yaani hata ile harufu ya mbolea siisikii....nakaa kule nikiday-dream ah!! Hahahhhhhhhhhhhhh I wish mtu angewezanifunulia kipindi kile rangi halisi ya mapenzi ah