Limenijia Tu...

...unalo hilo! ...umepatikana ee? usinambie nawe ushakumbwa na dhoruba ya mapenzi.
Hongera Mwj1...LOL!

........................Hahaaaaa Mbu bwana we acha tu......................... sijakumbwa Bwana mie nafanya reflection tu maana ah.........ahca tu. Kuna wakati nilikuwa najisikia nguvu zinaniisha.....kisa penzi kudaaaadake naingia kwenye mabanda ya kuku kuhudumia yaani hata ile harufu ya mbolea siisikii....nakaa kule nikiday-dream ah!! Hahahhhhhhhhhhhhh I wish mtu angewezanifunulia kipindi kile rangi halisi ya mapenzi ah
 
Nasikia wanawake tumweumbwa watu wa hisia zaidi labda ndio maana inakuwa hivi.Na mara nyingi tumekuwa na mapenzi ya kweli na ya dhati na hasa kama hulka yako ni kuwa na mwenza mmoja(yaani hubadilishibadilishi wanaume),lazima hisia zitazama kwake.Ni jambo zuri kwani kuna wanawake hawana hisia hata kupenda hawawezi.Huna tatitizo lolote ila jitahidi kubalance uweze kutimiza na majukumu mengine.

Kubwa kuliko yote "MWELEZE HUYO UNAYEMFEEL" ili ajue na kulifanyia kazi.Hakuna asiyependa KUPENDWA.

Kweli mama umenena tupo pamoja lakini kwa upande wa sisi wanaume hatupo hivyo.

Kwa mfano unapo mtongoza mwanamke siku ya kwanza anakataa na atakaa hata mwezi.

Lakini baada ya kumlisha maneno ya asali yenye radha ya chumvi anakubali kuwa na wewe

Sasa akisha kubali ndo zinaanza feelings hizo mwisho wa siku mmoja anamkinai mwenzake

Ladha ikisha pungua na kuisha dah dah
 
Naitumikia adhabu namba moja

Dena......ndo nini? hebu bwana jipe raha kwa kukumbuka those old days ah.....maisha haya yapo tu na yataendelea kuwepo.

MJ1,

Sorry, I've never been in love!

Baba Enock....unasema kweli?? hata ile ya kujisingizia?? Huwa hata kama si in love but unahisi uko in love bana.......Baba Enock hebu funguka wakumbuka fairView ulisimulia au ilikuwa magirin?

Au ndoto za mchana komredi maana nazo dah ni noma inakuwa mwendelezo mpaka night

Fide......usintake nikutolee siri zako hapa............ we huwa unalia kama beberu...........ukimkumbuka tu utasikia ......bebebbeeeeeee
Jamani samameheni mie leo hata sijijui sijui ndo hysteria ??Mwe.........
 
Eti ka-Lizzy bado hakajapenda........teh teh teh

Au labda hiyo ndo style yangu....enhe na wewe hua unakesha ukikenyua kwa kujua utakua nae kesho au unatabasamu tu kama huna akili nzuri simu yake ikiingia?!
 
Au labda hiyo ndo style yangu....enhe na wewe hua unakesha ukikenyua kwa kujua utakua nae kesho au unatabasamu tu kama huna akili nzuri simu yake ikiingia?!

Akili huniruka nionapo Skype!! Ni yeye tu ndo hunipigia toka Skype!
 
Kweli mama umenena tupo pamoja lakini kwa upande wa sisi wanaume hatupo hivyo.

Kwa mfano unapo mtongoza mwanamke siku ya kwanza anakataa na atakaa hata mwezi.

Lakini baada ya kumlisha maneno ya asali yenye radha ya chumvi anakubali kuwa na wewe

Sasa akisha kubali ndo zinaanza feelings hizo mwisho wa siku mmoja anamkinai mwenzake

Ladha ikisha pungua na kuisha dah dah[/QUOT

Nasikia wanaume huwa mnatamani kwa kuona tu na baada ya that move,unaweza ukaanza kufall in love au kuchefukwa
 
Huku siruhusiwi kucheka asee.....dah....MJ1....
Ngoja natabasamu kidoooogo.....kabla sijashikwa......:smiling:

..........Hivi we huku umefuata nini lakini? likizo ishaisha? watu walioaddicted na JF utawajua tu
haya ...........rudi upesi
 
Kweli mama umenena tupo pamoja lakini kwa upande wa sisi wanaume hatupo hivyo.

Kwa mfano unapo mtongoza mwanamke siku ya kwanza anakataa na atakaa hata mwezi.

Lakini baada ya kumlisha maneno ya asali yenye radha ya chumvi anakubali kuwa na wewe

Sasa akisha kubali ndo zinaanza feelings hizo mwisho wa siku mmoja anamkinai mwenzake

Ladha ikisha pungua na kuisha dah dah[/QUOT

Nasikia wanaume huwa mnatamani kwa kuona tu na baada ya that move,unaweza ukaanza kufall in love au kuchefukwa

Ukisha mega ndo kipimo tosha cha sisi wanaume je huyu mtu umpende au ndo crap uchape mwendo

Raha ya mchezo ni kuchezeshana sasa kama mchovu basi upendo unaisha unabaki ule wa kukata kiu
 
Au labda hiyo ndo style yangu....enhe na wewe hua unakesha ukikenyua kwa kujua utakua nae kesho au unatabasamu tu kama huna akili nzuri simu yake ikiingia?!

Sio kutabasamu tuuu,huwa simu inalazwa kifuani baada ya mazungumzo huku imekumbatiwa na mkono mmoja huku macho yanazunguka kuvuta kumbukumbu nzuri nzuri mpaka usingizi unakupitia!
 
Sio kutabasamu tuuu,huwa simu inalazwa kifuani baada ya mazungumzo huku imekumbatiwa na mkono mmoja huku macho yanazunguka kuvuta kumbukumbu nzuri nzuri mpaka usingizi unakupitia!

Sasa hapo inakusaidia nini?

Kweli mapenzi utoto
 
Back
Top Bottom