Lily Flower amefiwa na kaka yake

Wapendwa wa jukwaa hili pendwa la MMU,
Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwamba, mwenzetu Lily Flower amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa.
Tukiwa kama rafiki zake, ndugu zake, tuungane nae katika msiba huu, tukimuombea moyo wa uvumilivu wa kuweza kukabiliana na wakati huu mgumu uliopo mbele yake kwa sasa.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Amen.
Hi!
What a bad news these early hours!
Lily pole sana!
Kwa bahati mbaya kibinadamu hakuna neno zaidi ya pole ninaloweza kukuambia ili uelewe ninavyolia kimoyomoyo!
Tumempoteza kaka yetu muhimu sana, lakini mwisho wa siku Mungu ndiye ajuaye yote!

Tuko pamoja sana, na utatuona!
 
Wapendwa wa jukwaa hili pendwa la MMU,
Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwamba, mwenzetu Lily Flower amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa.
Tukiwa kama rafiki zake, ndugu zake, tuungane nae katika msiba huu, tukimuombea moyo wa uvumilivu wa kuweza kukabiliana na wakati huu mgumu uliopo mbele yake kwa sasa.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Amen.

Preta! Peleka pole nyingi toka kwa wanaJF wa Arusha tukionyesha uwepo wetu wa pamoja na tunakuomba utupe updates yote na bila shaka nasi tukifanya namna moja ama nyingine ya kukutana. Tutafanya namna ama nyingine ya kuwasiliana na wakuu! Thankx! Na niwatakie wakati mzuri!
 
Naipa Pole Familia Yote na Mungu aitie Nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 
Mungu aialaze roho ya marehemu mahali pema peponi.... Amina
pole sana LF....M/Mungu awatie nguvu na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom