"Lile jambo letu" ni moja ya kauli ninayoichukia sana

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,761
36,350
Habari!
Hivi zama hizi ni sahihi kuishi kwa mafumbo na kuuweka ukweli na uwazi pembeni?

Tatizo nini hasa?
Je, serikali haikujipanga ndani ya mwaka mzima kupiga hesabu ya mapato na matumizi
yake ili kuja na jibu kamili kuhusisha MISHAHARA ya watumishi?

Je, ni woga wa kuongezeka mfumuko wa bei?. Mbona kila mwaka bidhaa hasa za ujenzi zinapanda bei, zimepanda kutokana na gharama za uzalishaji kupanda au zimepanda kutokana na kauli za Marais Mei Mosi?
Anakuja mtu anazungumzia mambo ya bodi ya kuratibu.

MISHAHARA. Je, miaka ya nyuma enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kilitumika chombo gani kuratibu MISHAHARA?

Niseme sasa bila kupepesa macho kuwa kauli ya "Lile jambo letu bado lipo " ni miongoni mwa kauli zinazopaswa kutamkwa na kinywa kilichojaa upumbavu.
 
Habari!
Hivi zama hizi ni sahihi kuishi kwa mafumbo na kuuweka ukweli na uwazi pembeni?
Tatizo nini hasa?
Je, serikali haikujipanga ndani ya mwaka mzima kupiga hesabu ya mapato na matumizi
yake ili kuja na jibu kamili kuhusisha MISHAHARA ya watumishi?
Je, ni woga wa kuongezeka mfumuko wa bei?. Mbona kila mwaka bidhaa hasa za ujenzi zinapanda bei, zimepanda kutokana na gharama za uzalishaji kupanda au zimepanda kutokana na kauli za Marais Mei Mosi?
Anakuja mtu anazungumzia mambo ya bodi ya kuratibu MISHAHARA. Je, miaka ya nyuma enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kilitumika chombo gani kuratibu MISHAHARA?
Niseme sasa bila kupepesa macho kuwa kauli ya "Lile jambo letu bado lipo " ni miongoni mwa kauli zinazopaswa kutamkwa na kinywa kilichojaa upumbavu.
Kula kwanza Eid mkuu hayo mambo yanaumiza mno

USSR
 
Habari!
Hivi zama hizi ni sahihi kuishi kwa mafumbo na kuuweka ukweli na uwazi pembeni?
Tatizo nini hasa?
Je, serikali haikujipanga ndani ya mwaka mzima kupiga hesabu ya mapato na math yake ili kuja na jibu kamili kuhusisha MISHAHARA ya watumishi?
Je, ni woga wa kuongezeka mfumuko wa bei?. Mbona kila mwaka bidhaa hasa za ujenzi zinapanda bei, zimepanda kutokana na gharama za uzalishaji kupanda au zimepanda kutokana na kauli za Marais Mei Mosi?
Anakuja mtu anazungumzia mambo ya bodi ya kuratibu MISHAHARA. Je, miaka ya nyuma enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kilitumika chombo gani kuratibu MISHAHARA?
Niseme sasa bila kupepesa macho kuwa kauli ya "Lile jambo letu bado lipo " ni miongoni mwa kauli zinazopaswa kutamkwa na kinywa kilichojaa upumbavu.
Achana na mambo ya kauli mkuu Subiri. Mishahara imeongezeka au haijaongezwa? Subiri
 
Nchi hii mtu yeyote anaweza kuwa rais, ni kauli ya kijinga sana ile.

Hadhi ya urais imeshushwa sana, ukimsikiliza Uhuru Kenyatta, ukamsikiliza na huyu, unaweza kuhisi Kuna mmoja ni mwenyekiti wa umoja wa kuweka na kukopa.

Halafu wapo wanaomdanganya eti ndio lugha laini. Ujinga ni mzigo.
 
Habari!
Hivi zama hizi ni sahihi kuishi kwa mafumbo na kuuweka ukweli na uwazi pembeni?

Tatizo nini hasa?
Je, serikali haikujipanga ndani ya mwaka mzima kupiga hesabu ya mapato na matumizi
yake ili kuja na jibu kamili kuhusisha MISHAHARA ya watumishi?

Je, ni woga wa kuongezeka mfumuko wa bei?. Mbona kila mwaka bidhaa hasa za ujenzi zinapanda bei, zimepanda kutokana na gharama za uzalishaji kupanda au zimepanda kutokana na kauli za Marais Mei Mosi?
Anakuja mtu anazungumzia mambo ya bodi ya kuratibu.

MISHAHARA. Je, miaka ya nyuma enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kilitumika chombo gani kuratibu MISHAHARA?

Niseme sasa bila kupepesa macho kuwa kauli ya "Lile jambo letu bado lipo " ni miongoni mwa kauli zinazopaswa kutamkwa na kinywa kilichojaa upumbavu.
Chuki Binafsi.
 
Habari!
Hivi zama hizi ni sahihi kuishi kwa mafumbo na kuuweka ukweli na uwazi pembeni?

Tatizo nini hasa?
Je, serikali haikujipanga ndani ya mwaka mzima kupiga hesabu ya mapato na matumizi
yake ili kuja na jibu kamili kuhusisha MISHAHARA ya watumishi?

Je, ni woga wa kuongezeka mfumuko wa bei?. Mbona kila mwaka bidhaa hasa za ujenzi zinapanda bei, zimepanda kutokana na gharama za uzalishaji kupanda au zimepanda kutokana na kauli za Marais Mei Mosi?
Anakuja mtu anazungumzia mambo ya bodi ya kuratibu.

MISHAHARA. Je, miaka ya nyuma enzi za Mwinyi, Mkapa, Kikwete kilitumika chombo gani kuratibu MISHAHARA?

Niseme sasa bila kupepesa macho kuwa kauli ya "Lile jambo letu bado lipo " ni miongoni mwa kauli zinazopaswa kutamkwa na kinywa kilichojaa upumbavu.
Hata suala la katiba ni hivyo hakuna uwazi.
 
Siku zote hotuba inaandaliwa na wataalamu wanaohusika na hakuna tatizo kabisa ukiisoma na kutoa ufafanuzi kidogo shida inaanzia pale unapoamua kuchomekea au kuanzisha MANENO yasiyokuwemo kwenye hotuba

Mbaya zaidi hotuba ya viongozi Wetu wapendwa ni Historia ambayo itatumiwa na vizazi vilivyopo na vijavyo ni shule ni kumbukumbu inayotakiwa kuigwa na ni sheria.
 
Back
Top Bottom