Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

Hehehehehe

Alikuwa pancha mzee
Ilibidi Madrid wamsajili ronaldo kutoka man u bale kutoka spurs na luka kutoka spurs ndio watawale ulaya
Kila mwaka Madrid anahangaika kuchukua wachezaji uingereza
Hata mchezaji bora wa la liga alikuwa flop uingereza
Ila kwakuwa ni mbishi utabisha
sasa pale leeds angecheza na akna nan
 
Kipimo kizuri zaidi ni mafanikio ya hizo ligi kwa upande wa UCL ambapo huwa wanakutana sana

Ambapo EPL miaka kumi na mbili yote kurudi nyuma walikuwa wanaburuzwa tu

Angalau useme msimu huu team zao zimejitahidi kidogo kufanya vizuri ila kimafanikio bado sana kuwafikia Spain hata team ya taifa ya Spain ipo vizuri zaidi kuliko England angalia rank pia.

Mzee EPL kwa la Liga kiufundi bado sana
Spain imekuwa nzuri kuanzia 2008 hapo nyuma walikuwa takataka tu
Ufundi gani unaosema wewe wakati Madrid alikuwa anazuia mechi nzima vs man city
 
sasa pale leeds angecheza na akna nan
Hicho ndio kichaka chako si ndio
Unapokuwa timu ndogo
Hapo ndipo saizi yako
Mbuemo anacheza timu ndogo ila magoli yale pale na hakuna kisingizio sijui anacheza na nani
Mfungaji bora wa muda wote epl hakucheza timu kubwa
Sasa sijui point yako ni nini

Barcelona kuna mwaka hadi mfalme aliwatisha wajifungishe ili wasiuliwe
Hiyo ligi yenu ni takataka
Uingereza ni too much ndio maana hata uefa ina timu nyingi shiriki kuliko takataka zenu
 
MO11 Kwa hyo lig ya ufaransa ni bora kwa kigezo cha kutoa washirik tofaut kwenye uefa?
 
Spain imekuwa nzuri kuanzia 2008 hapo nyuma walikuwa takataka tu
Ufundi gani unaosema wewe wakati Madrid alikuwa anazuia mechi nzima vs man city
Kuzuia nayo ni sanaa kama ni hivyo city kwanini walifungwa?

Na tunajua wazi pep anapenda ku possess mpira sio ajabu kwake kumbuka pep ni Spaniard
 
Kuzuia nayo ni sanaa kama ni hivyo city kwanini walifungwa?

Na tunajua wazi pep anapenda ku possess mpira sio ajabu kwake kumbuka pep ni Spaniard
You have double standard
Wakizuia waingereza mpira mbovu
Wakizuia wahispain ni sanaa

Siwezi kupoteza muda wangu kwa mtu anayehamisha magoli ili afunge
 
You have double standard
Wakizuia waingereza mpira mbovu
Wakizuia wahispain ni sanaa

Siwezi kupoteza muda wangu kwa mtu anayehamisha magoli ili afunge
Unazuia halafu unashinda ni sanaa
Sio unazuia na unagongwa huo ni ujinga .
Unapossess mpira na unafungwa tena.
Angalia hata makocha wanaosumbua kwa sasa wanatoka nchi gani?

Jose Luis Enrique
Pep mwenyewe
Unai emery
Mike arteta
Xabi alonso
Maresca

Garry Neville muingereza alienda Spain kuwa kocha wa Valencia kidogo awashushe daraja. Sasa ligi nyepesi ikamshinda tena?
 
Liverpool inayotoka uingereza(ligue bora) imepoteza mbele ya real madrid mara ngapi?
Ni timu gani pale uingereza ina makombe mengi kuizidi real madrid?
 
Liverpool inayotoka uingereza(ligue bora) imepoteza mbele ya real madrid mara ngapi?
Ni timu gani pale uingereza ina makombe mengi kuizidi real madrid?
Man city mbov kashika nafasi ya pili alaf kabuluzwa na madrid mbov nje ndan LALIGA NI LIGI BORA.
 
Back
Top Bottom