uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,970
- 8,312
Kumetokea nini Ligi kuu ya uingereza?
Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu.
Fikiria kikosi kibovu cha arsenal inakuwa juu ya msimamo! Msimu huu nimeangalia me his tano za arsenal nikapata majibu kuwa Arsenal hawezi kufuzu hata Uefa.
Mdau moja ameniambia Arsenal inaongoza ligi kwasababu ya break ya Kombe la Dunia lkn bado sijaridhika.
Arsenal ina wachezaji watatu tu wazuri saka, martinel na potter wengine wote vimeo.
Timu zitakazofuzu uefa msimu huu;
~ Manchester united
~ Manchester city
~ Newcastle united
~ Liverpool
Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero.
Poor arsenal!
Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu.
Fikiria kikosi kibovu cha arsenal inakuwa juu ya msimamo! Msimu huu nimeangalia me his tano za arsenal nikapata majibu kuwa Arsenal hawezi kufuzu hata Uefa.
Mdau moja ameniambia Arsenal inaongoza ligi kwasababu ya break ya Kombe la Dunia lkn bado sijaridhika.
Arsenal ina wachezaji watatu tu wazuri saka, martinel na potter wengine wote vimeo.
Timu zitakazofuzu uefa msimu huu;
~ Manchester united
~ Manchester city
~ Newcastle united
~ Liverpool
Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero.
Poor arsenal!