Yaani awe flop leeds harafu aende Barc tena aisee..Raphinha hakuwa flop acha uongo ndugu yangu.
Raphinha sio my favorite player ila sio vizuri kumsemea uongo.
Huyo Raphinha alikuwa anatakiwa na Arteta ila Deco akakaza aende Barca na dogo akaona Barca ni timu la dunia akafanya maamuzi.
England ni Tim mbovu zinazo kamiana🙅PSG kapiga kuanzia Liverpool,Man City,Aston Villa na Arsenal hapo hata ingewekwa Timu ingine ya Uingereza ingefungwa maana mfumo ni ule ule kwa hiyo wote wamefungwa na copy moja tu wakati ni ngumu Timu ya Nchi moja kuzifunga timu nne au tano zote za Spain,Italy au German hiyo ni ngumu.
Mechi bora ilikua Barc vs Inter wakati mechi ya Arsenal ilishaisha kule kule kwa Malkia sema vijana wapo na mkoloni wao hata akiwa mbovu wao wanasema anachechemea atapona tu..England ni Tim mbovu zinazo kamiana🙅
Wanabutua mpiraUK huwa wanacheza rugby na sio mpira
Mimi lig zangu pendwa ni BUNDESLIGA,LALIGA,SERIA AKatika ligi za hovyo duniani ni ligi ya spain haina ushindani kwenye ligi asipochukua barca anachukua real. Ile ligi inazidiwa na italy angalau kuna ushindani.
Uko sahihi kwa mtazamo wako.Mimi lig zangu pendwa ni BUNDESLIGA,LALIGA,SERIA A
Upo sahihi kabisa, watu wanabishania ubora wa ligi humu lakini hawazingatii nini maana ya ligi, badala yake wanahamia kwenye ubora wa vilabu vikubwa vya ligi hizo. PSG anaweza kupiga timu zote za epl lakini hiyo haimaanishi ubora wa ligu 1, maana wenzie wote wanamsubiri awakung'ute na kubeba kombe bila mawaa.Katika ligi za hovyo duniani ni ligi ya spain haina ushindani kwenye ligi asipochukua barca anachukua real. Ile ligi inazidiwa na italy angalau kuna ushindani.
Huo ndo ubora wa ligi sasa, watu watoane jasho. Sio giant mmoja anayesumbua huko UEFA anajichukulia ndoo ya ligi kuu bado ana game 10 mkononi huku wenzie wote wakiwa kama wake zake eti ndo ubora wa ligi.Seria A kwa sasa imekuwa ngumu kutabir bingwa ni nan
Kwa hiyo kwako wewe ligi bora ni ile yenye ushindani sio? Hata kama wanaoshindana ni vibonde kama EPL?Kwa miaka mingi misimamo kwenye ligi hizo msimu ukichanganya humo kati ni kawaida kukuta ikisoma hivi kwa top 6:
EPL: 61, 59, 55, 54, 52, 52 ...
SERIE A: 59, 57, 54, 49, 48 ...
LA LIGA & BONGO: 58, 57, 37, 32, 32, 31 ...
BUNDESLIGA & LIGUE 1: 60, 42, 40, 39, 39, 36 ...
Bora SERIE A kuna kaushindani inafukuzana EPL.
Hizi ndo ligi za kufuatilia sasaKwa Vigezo vyako kina Henry, Anelka, Owen to name just a few wasingekuwa Flops Spain... Niambie apart from Ronaldo ni nani alifanya Transition ya Premier to La Liga na akafanya makubwa kama alipotoka, arguably hata David Beckham aliflop...
Spain unahitaji technical ability more than anything ukiwa na technical ability utafanya vizuri Spain ila any good player can adapt; kwahio kwa maneno yako mwaka huu ligi bora ni France na Italy ?!!!!
Ingawa binafsi Ligi ni Ushindani na kuna mwaka nilisema ligi bora duniani ilikuwa ni Algeria....
![]()
The Most Competitive League in the Word
UPDATE Bado Mechi 2 Team MP W D L F A D P Last 5 matches H2H 1 ES Sétif 28 12 9 7 34 26 +8 45 D W L W L 2 MO Béjaïa 28 10 11 7 30 20 +10 41 D D L L L 3 MC Oran 28 10 11 7 17 17...www.jamiiforums.com
Ubora wa ligi unatokana na uwakilishi mzuri kwenye michuano ya kimataifa kwa vilabu vya ligi husika. Mathalani La Liga karibu kila msimu kuna timu inabeba moja kati ya makombe ya UEFAHuo ndo ubora wa ligi sasa, watu watoane jasho. Sio giant mmoja anayesumbua huko UEFA anajichukulia ndoo ya ligi kuu bado ana game 10 mkononi huku wenzie wote wakiwa kama wake zake eti ndo ubora wa ligi.
Ndio. Na ushindani ndio maana ya ligi. Sijui mtazamo wako juu ya ligi upojeKwa hiyo kwako wewe ligi bora ni ile yenye ushindani sio? Hata kama wanaoshindana ni vibonde kama EPL?
Kama ishu ni kutajiana aliyeflop EPL akawika La Liga mifano ipo pia.Kwa Vigezo vyako kina Henry, Anelka, Owen to name just a few wasingekuwa Flops Spain... Niambie apart from Ronaldo ni nani alifanya Transition ya Premier to La Liga na akafanya makubwa kama alipotoka, arguably hata David Beckham aliflop...
Spain unahitaji technical ability more than anything ukiwa na technical ability utafanya vizuri Spain ila any good player can adapt; kwahio kwa maneno yako mwaka huu ligi bora ni France na Italy ?!!!!
Ingawa binafsi Ligi ni Ushindani na kuna mwaka nilisema ligi bora duniani ilikuwa ni Algeria....
![]()
The Most Competitive League in the Word
UPDATE Bado Mechi 2 Team MP W D L F A D P Last 5 matches H2H 1 ES Sétif 28 12 9 7 34 26 +8 45 D W L W L 2 MO Béjaïa 28 10 11 7 30 20 +10 41 D D L L L 3 MC Oran 28 10 11 7 17 17...www.jamiiforums.com