Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

EPL ni maarufu tu ila ukitaka kutazama boli tazama La Liga au Seria A
 
Huu mjadala ulishaisha humu, EPL ni ligi maarufu tu tena hapa Afrika Mashariki lakini haina ubora ndio maana timu zake hazifanyi vizuri sana kwenye michuano ya vilabu ya kimataifa barani Ulaya
 
Ubora wa ligi unatokana na uwakilishi mzuri kwenye michuano ya kimataifa kwa vilabu vya ligi husika. Mathalani La Liga karibu kila msimu kuna timu inabeba moja kati ya makombe ya UEFA
Hata huo uwakilishi wenyewe ni timu ngapi zinabeba au kushiriki UEFA

EPL si ajabu kuona katika msimu wowote yeyyote kati ya hawa (na hata wengineo) akicheza UEFA/Europa: Man City, Liverpool, Arsenal, Chelsea, Tottenham, Newcastle, Aston Villa, Leicester City, West Ham, Everton nk.

Huo uwakilishi kwa La Liga top 3 lazima wajulikane hata kabla ya msimu kuanza
 
Lengo la foootball ni kuburudisha watazamaji sio kutumia miguvu isiyo na sabababu au mwingine anacheza mwingine muda wote kakaa nyuma tu kuvizia mwenzio akosee alaf mbona Man city kajalibu kuiga soka la kihispania kachukua ubingwa kalibu mara sita mfululuzo hiv
 
EPL ni ligi bora na yenye ushindani lakini haimaanishi ina timu bora kuliko ligi zingine Ulaya.

Hapa ndiyo wapenzi wa La Liga wanaposhindwa kuelewa. Kinachofanya EPL kuwa na ushindani ni PESA.

PESA. PESA. PESA!!! Pesa inayomwagwa EPL ndiyo inafanya ligi kuwa yenye ushindani kwasababu timu zote zinaweza kutoshana misuli. United, Pool, City, Arsenal, Spurs, Chelsea, wote wana pesa ya kununua wachezaji ghali kila msimu. Ukija kwa hizi mid-table Newcastle taratibu wanajenga ufalme wao. Nottingham F. kwa msimu anaweza ku-spend 200m pounds, bado kuna West Ham, Palace, Brighton.

Ukitaka kubisha wewe kaza fuvu ila data zipo. Madrid na Barca wanapozishinda timu nyingine ni wameweza kuendeleza ubabe wao kwasababu ndiyo timu zenye pesa, na kwasababu timu nyingine ni dhaifu kwenye ligi zinapata mafanikio zaidi kwenye ligi na vikombe vingine vya ndani. Sasa ile hali ya ushindi kila msimu inavutia wachezaji wazuri kwenda kule. Na ukiongelea Europe kwa Spain ni Madrid tu ndiyo anaweza kuongea, sasa hivi mafanikio yao ni kusajili wachezaji waliomaliza mikataba. Wachezaji wengi hawaji EPL maana wanajua vikombe vya ndani vinagawanywa kwa kila timu, kushinda treble ni mpaka kikosi kama cha City ile ya moto. Sasa ukishakosa domestically unabaki na kombe la Ulaya na huko ndiyo unakutana na super teams kama PSG. EPL ndiyo ligi bora!

Madrid, Barca, Bayern, PSG wanaweza kuwa na vikosi bora ila ligi zao ukitoa wao ni dhaifu sana. EPL kila timu ina pesa hivyo utofauti kati ya timu na timu ni mdogo.

Manobisha angalieni hapa timu za La Liga zilivyo masikini:
View attachment 3343950
Kama ni hivyo, mbona hizo timu zenye ushindani zikienda kwenye michuano ya UEFA zinapigwa?
 
Huwezi ukasema una ligi bora wakati ukikutana na wababe unapigwa, hizo ni ngonjera 😂 😂
 
EPL ni ligi bora na yenye ushindani lakini haimaanishi ina timu bora kuliko ligi zingine Ulaya.

Hapa ndiyo wapenzi wa La Liga wanaposhindwa kuelewa. Kinachofanya EPL kuwa na ushindani ni PESA.

PESA. PESA. PESA!!! Pesa inayomwagwa EPL ndiyo inafanya ligi kuwa yenye ushindani kwasababu timu zote zinaweza kutoshana misuli. United, Pool, City, Arsenal, Spurs, Chelsea, wote wana pesa ya kununua wachezaji ghali kila msimu. Ukija kwa hizi mid-table Newcastle taratibu wanajenga ufalme wao. Nottingham F. kwa msimu anaweza ku-spend 200m pounds, bado kuna West Ham, Palace, Brighton.

Ukitaka kubisha wewe kaza fuvu ila data zipo. Madrid na Barca wanapozishinda timu nyingine ni wameweza kuendeleza ubabe wao kwasababu ndiyo timu zenye pesa, na kwasababu timu nyingine ni dhaifu kwenye ligi zinapata mafanikio zaidi kwenye ligi na vikombe vingine vya ndani. Sasa ile hali ya ushindi kila msimu inavutia wachezaji wazuri kwenda kule. Na ukiongelea Europe kwa Spain ni Madrid tu ndiyo anaweza kuongea, sasa hivi mafanikio yao ni kusajili wachezaji waliomaliza mikataba. Wachezaji wengi hawaji EPL maana wanajua vikombe vya ndani vinagawanywa kwa kila timu, kushinda treble ni mpaka kikosi kama cha City ile ya moto. Sasa ukishakosa domestically unabaki na kombe la Ulaya na huko ndiyo unakutana na super teams kama PSG. EPL ndiyo ligi bora!

Madrid, Barca, Bayern, PSG wanaweza kuwa na vikosi bora ila ligi zao ukitoa wao ni dhaifu sana. EPL kila timu ina pesa hivyo utofauti kati ya timu na timu ni mdogo.

Manobisha angalieni hapa timu za La Liga zilivyo masikini:
View attachment 3343950
Duuh!
 
Huyu dogo kapitia anayopitia saka kila wiki cheki alivyopoteana
Akija uingereza huyu anauzwa kwa pauni million 15
FB_IMG_1749923198202.jpg
 
Ligi ya Uingereza ni ligi maarufu tu wala haina ubora wala havutii kuitazama, sema ni hivyo tu ilifanikiwa kujitangaza mapema.

Mfano unajisifia ligi bora huku pasi tatu mpira upo Langoni kwa mpinzani huo ubora upo wapi? Mpira hauna flow hata chembe kazi kukimbizana tu na hakuna cha ufundi wala nini.

Ukisikia anasifika mchezaji wa EPL ujue huyo ni beki. Striker kama Halland anasifika lakini siku timu ikishikwa anakuwa hana msaada wowote zaidi ya kuzurura.
Mpira wa pasi tatu goli pqle epl ulishaondoka na fergie sasa hivi nchi nzima haichezi huu mfumo
 
Ukweli anaujua lakin hatak kukir
Ni uvivu wa tu kufyatua matofali unamsumbua huyo

Mbona edn Hazard aliondoka epl akiwa wa moto ila akaishia mbao ndefu Spain mpaka kustaafu? Vipi Gareth Bale?

Hana lolote huyo ushabiki umemjaa tu
 
Hehehehehe
Ni uvivu wa tu kufyatua matofali unamsumbua huyo

Mbona edn Hazard aliondoka epl akiwa wa moto ila akaishia mbao ndefu Spain mpaka kustaafu? Vipi Gareth Bale?

Hana lolote huyo ushabiki umemjaa tu
Alikuwa pancha mzee
Ilibidi Madrid wamsajili ronaldo kutoka man u bale kutoka spurs na luka kutoka spurs ndio watawale ulaya
Kila mwaka Madrid anahangaika kuchukua wachezaji uingereza
Hata mchezaji bora wa la liga alikuwa flop uingereza
Ila kwakuwa ni mbishi utabisha
 
Hehehehehe

Alikuwa pancha mzee
Ilibidi Madrid wamsajili ronaldo kutoka man u bale kutoka spurs na luka kutoka spurs ndio watawale ulaya
Kila mwaka Madrid anahangaika kuchukua wachezaji uingereza
Hata mchezaji bora wa la liga alikuwa flop uingereza
Ila kwakuwa ni mbishi utabisha
Kipimo kizuri zaidi ni mafanikio ya hizo ligi kwa upande wa UCL ambapo huwa wanakutana sana

Ambapo EPL miaka kumi na mbili yote kurudi nyuma walikuwa wanaburuzwa tu

Angalau useme msimu huu team zao zimejitahidi kidogo kufanya vizuri ila kimafanikio bado sana kuwafikia Spain hata team ya taifa ya Spain ipo vizuri zaidi kuliko England angalia rank pia.

Mzee EPL kwa la Liga kiufundi bado sana
 
Back
Top Bottom