MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
Kila nikiangalia la liga nachoka sana. Yani flop za uingereza ndio zinasumbua Spain yaani Raphinha na Antony
Hii ligi wanapeana nafasi sana yani mtu anapewa nafasi mpaka unashangaa sekunde 10 mtu anajifikiria cha kufanya yupo kwenye box la timu pinzani.
Huo muda hupati uingereza yani weekend hii unacheza na Newcastle wiki ijayo ucheze na Nottingham bado kuna Brighton
Huyo dogo wanayemsifia angekuwa Uingereza hakabwi na mtu mmoja.
Si mmemuona Saka Akishika mpira kuanzia namba sita left wing na lb wote wanamuangalia inabidi uwe elite player ili ukompete unatakiwa uwe mchezoni kuanzia asilimia 85 kila mechi
Ndio maana msimu huu timu za Uingereza zimewafunga sana wahispania.
Hii ligi wanapeana nafasi sana yani mtu anapewa nafasi mpaka unashangaa sekunde 10 mtu anajifikiria cha kufanya yupo kwenye box la timu pinzani.
Huo muda hupati uingereza yani weekend hii unacheza na Newcastle wiki ijayo ucheze na Nottingham bado kuna Brighton
Huyo dogo wanayemsifia angekuwa Uingereza hakabwi na mtu mmoja.
Si mmemuona Saka Akishika mpira kuanzia namba sita left wing na lb wote wanamuangalia inabidi uwe elite player ili ukompete unatakiwa uwe mchezoni kuanzia asilimia 85 kila mechi
Ndio maana msimu huu timu za Uingereza zimewafunga sana wahispania.