Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
Habari za mchana wakuu,natumai wote hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu za kila leo.
Jana kuna my friend wangu aliniazima gari lake ili nisafishe jina kitaani,basi kumbe kuna rafiki yangu mwengine ambaye my girlfriend wake hakulala nyumbani kwake.
Basi leo asubuhi nikiwa na lile gari yule shemeji yangu akaniona na kuniomba nimpe lift ya kumpeleka kwake,sikumkatalia nikamchukua mpaka nyumbani kwake,tunafika nyumbani kwake rafiki yangu kanuna kwasababu demu wake huyo hakulala nyumbani,basi mie nikasalimia na kuendelea na zangu.
Baada kama ya nusu saa huyu rafiki yangu ananipigia simu na kuniambia kuwa mie natembea na demu wake na jana kalala kwangu ndio maana nimemrudisha pale asubuhi.
Ila ukweli ni kwamba mie sikulala na wala sijawahi kutembea na huyu shemeji yangu,ila wasionitakia mema wamenizushia hayo ili nigombane na rafiki yangu,je mwenzangu hakuna mkasa uliokupata leo hii? Nalog off
Jana kuna my friend wangu aliniazima gari lake ili nisafishe jina kitaani,basi kumbe kuna rafiki yangu mwengine ambaye my girlfriend wake hakulala nyumbani kwake.
Basi leo asubuhi nikiwa na lile gari yule shemeji yangu akaniona na kuniomba nimpe lift ya kumpeleka kwake,sikumkatalia nikamchukua mpaka nyumbani kwake,tunafika nyumbani kwake rafiki yangu kanuna kwasababu demu wake huyo hakulala nyumbani,basi mie nikasalimia na kuendelea na zangu.
Baada kama ya nusu saa huyu rafiki yangu ananipigia simu na kuniambia kuwa mie natembea na demu wake na jana kalala kwangu ndio maana nimemrudisha pale asubuhi.
Ila ukweli ni kwamba mie sikulala na wala sijawahi kutembea na huyu shemeji yangu,ila wasionitakia mema wamenizushia hayo ili nigombane na rafiki yangu,je mwenzangu hakuna mkasa uliokupata leo hii? Nalog off