Pasco banah!! Juzi alikiri kuwa Dr. Tulia alimchanganya pale Nkurumah hadi akazungusha LLB!! Sasa ukiona mtu anachanganyikiwa hadi na mtu asiye na mvuto kimahaba kama Dr. Ntulia wewe unategemea kwa Upendo atakuwaje!! Jamaa kwa pendapenda namvulia kofia! Kashawasifia wabunge vijana wote wakike!! Anakuja humu na visifa vya uongo na kweli kumbe jamaa hoi kiakili!!
Hahahahahaa just imagine mtu anazungusha kisa Dr. Ntulia kamchanganya!!
View attachment 306457View attachment 306458
Haka kabinti ni kazuri lakini wasi wasi wangu ni kuwa Chadema si sehemu salama kwa makuzi ya mabinti wa aina hii hawachelewi kubadili gia angani!
Upendo Furaha Peneza na kusii usikubali gia kubadilishwa ....
Chanzo cha ajali ile ni yeye mwenyewe! Hakuwa na uzoefu wa kutosha wa kuendesha gari.especialy long safariKaka Pasco na ile ajali aliyopata unaizungumziaje?, kwa minajili kuwa na Marehemu Regia Mtema, pia alikuwa muhanga wa ajali
Pasco banah!! Juzi alikiri kuwa Dr. Tulia alimchanganya pale Nkurumah hadi akazungusha LLB!! Sasa ukiona mtu anachanganyikiwa hadi na mtu asiye na mvuto kimahaba kama Dr. Ntulia wewe unategemea kwa Upendo atakuwaje!! Jamaa kwa pendapenda namvulia kofia! Kashawasifia wabunge vijana wote wakike!! Anakuja humu na visifa vya uongo na kweli kumbe jamaa hoi kiakili!!
Hahahahahaa just imagine mtu anazungusha kisa Dr. Ntulia kamchanganya!!
Pasco,
Una kumbukumbu nzuri. Nakumbuka nilifahamiana na Upendo kupitia kwa Regia Mtema Mwaka 2010.Naamini ndani ya Bunge,atakuwa miongoni mwa wabunge bora kabisa kuzidi hata wengine waliomzidi Umri
Pasco,
Una kumbukumbu nzuri. Nakumbuka nilifahamiana na Upendo kupitia kwa Regia Mtema Mwaka 2010.Naamini ndani ya Bunge,atakuwa miongoni mwa wabunge bora kabisa kuzidi hata wengine waliomzidi Umri
Pasco,
Una kumbukumbu nzuri. Nakumbuka nilifahamiana na Upendo kupitia kwa Regia Mtema Mwaka 2010.Naamini ndani ya Bunge,atakuwa miongoni mwa wabunge bora kabisa kuzidi hata wengine waliomzidi Umri