Upendo Peneza aeleza sababu za kuondoka kwake CHADEMA

Sasa umeleta huu uzi wa nini? Kama hauna habari kamili?

Punguza mihemko kaa tulia utuletee hanari iliyojitosheleza
Nimesema hili jambo ni mubashara. Mwenye nafasi anaweza kusikiliza, asiye na nafasi halazimishwi. Sio jambo la Siri utake nikuletee kinachojadiliwa huko ndani. Acha kupanick, unasema huna nafasi ya kusikiliza ila uko jf unajadili!
 
Back
Top Bottom