Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,520
- 93,090
Umeambiwa vumbi la Congo haliongezi nguvu za kiume, bali linapiga mboo nusu kaputi ili usikojowe haraka na ndicho wanawake wengi wanachohitaji.Kwani wanaume wamepeleka wapi nguvu
Umeambiwa vumbi la Congo haliongezi nguvu za kiume, bali linapiga mboo nusu kaputi ili usikojowe haraka na ndicho wanawake wengi wanachohitaji.Kwani wanaume wamepeleka wapi nguvu
ShingapiMkuu una hela nikuletee mzigoView attachment 1799729
Mpaka nikirud tena uarabuni sasa hv nipo tz likizoShingapi
Wapi napata miche yake?
SUA hawana miche?
Salute sana hili dude
Hayo mafuta yanaitwaje mkuu?siku hizi kuna mafuta hayo kama viksi ni balaa hayo mavumbi hayana ishu
Vimafuta unapaka tu kiasi aisee balaa lake
Umeambiwa vumbi la Congo haliongezi nguvu za kiume, bali linapiga mboo nusu kaputi ili usikojowe haraka na ndicho wanawake wengi wanachohitaji.
Sasa nyinyi mnatununia bila sababu kwani hicho kikojoleo unacho peke yako?Ukiwa na mwanamke ambaye ni wa kwako, wa kukutosha yaani yule wa kufanana nae huhitaji hekaheka zote hizo.
Shida yote hiyo inakuja pale unapotaka kutumia wanawake tofautitofauti
Sasa nyinyi mnatununia bila sababu kwani hicho kikojoleo unacho peke yako?
Wa nje wala hawanuni, nyinyi endeleeni kununa wenzenu wala.Ona sasa, mwanamke ananuna wewe mume unashindwa kumfurahisha unaishia kwenye vumbi la kongo. Mmeambiwa muishi nao kwa akili sio kwa miguvu🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Na mtapata tabu sana😅😅😅😅
Mama J Kama mama JMambo mengi ya nini? Kuleni todi muinjoi Caribbean love (tamka 'lov')View attachment 2126096
Hivi hiyo kitu inatengenezwa na nini, tangawizi wana mix na nini?Hzo takataka zote mkali wao kayababu
Akikujibu nistueHivi hiyo kitu inatengenezwa na nini, tangawizi wana mix na nini?
nakubalisasa hivi nimehamia royal honey.
Asali moja hivi ina shughuli sio ya kitoto
vumbi haliongezi nguvuKwani wanaume wamepeleka wapi nguvu