Kwanini Mwanza vyuo havijengwi kama Kusini?

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Mwanza ndio jiji kuu la kanda ya ziwa, ukanda wenye Watanzania wengi sana walioelimika lakini kwanini serikali haitaki kujenga vyuo Mwanza?

Mwanza imefikia hatua kiasi hata chuo kinachoonekana kikubwa ni SAUT maana hakuna vyuo vya serikali.

Ukicheki kusini jiji kama Mbeya kuna
  • Udsm chuo cha afya,
  • Udsm chuo cha computer,
  • MUST,
  • Mzumbe,
  • TIA,
  • CBE,
  • ADEM
  • Vyuo vya unesi hivi vipo kibao
  • vyuo private vipo vingi tu kama Saut lakini kinashindwa kutamba kama huko Mwanza
 
Mwanza ndio jiji kuu la kanda ya ziwa, ukanda wenye Watanzania wengi sana walioelimika lakini kwanini serikali haitaki kujenga vyuo Mwanza?

Mwanza imefikia hatua kiasi hata chuo kinachoonekana kikubwa ni SAUT maana hakuna vyuo vya serikali.

Ukicheki kusini jiji kama Mbeya kuna
  • Udsm chuo cha afya,
  • Udsm chuo cha computer,
  • MUST,
  • Mzumbe,
  • TIA,
  • CBE,
  • ADEM
  • Vyuo vya unesi hivi vipo kibao
  • vyuo private vipo vingi tu kama Saut lakini kinashindwa kutamba kama huko Mwanza
Huna taarifa mwanza Kuna
TIA wanajenga chuo Usagara
IRDP wanajenga chuo kisesa.
CBE wanajenga kangae
DIT wanajenga ilemela
IFM wanajenga kiseke .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom