Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.
CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!
Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!
Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!
Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.
CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!
Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!
Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!
Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
makamanda wanasonga mbele, hatuwezi sikiliza pumba zako hizo...
Everywhere they are called lebels! Hata hao wazungu wanaowasapoti wanawaita lebels,unajua maana ya lebels mkuu? Wale ni waasi tu utake usitake, kama cdm wanavyojaribu kuvunja aman ndani ya tz! El 4 2015
Naamini katika wapumbavu ni pamoja na wewe. Huyo EL asahau uongozi kabisaa! Labda alete al-shababu wakumlinda.Yani ningekuwa nakujua ningekutafutia zawadi nzuri nikakupa. Mi sioni wanachokitaka chadema ila kuharibu amani ambayo twajivunia kwa sasa. Kama malengo yao ni maendeleo, basi wangeshirikiana na vyama vyengine ili kutimiza malengo yao.but kauli mbiu yao ni kuitoa ccm madarakani na si maendeleo wala vyenginevyo. Kwanini hawaigi vyama vyengine? Mfano siku alipoapishwa kikwete pia alikuwepo lipumba ambae alikubali kushindwa. Na alipopewa fursa ya kutalk alipeleka ilani ya cuf na kumkabidhi kikwete ili kumpa yale walokusudia kuyafanya iwapo wangekuwa madarakani.sasa japo wameikosa fursa hiyo lakini mawazo yao wamempa kwa kuwa lengo lao ni kuleta maendeleo kwa watanzania. Lakini chadema, huko kufika ktk kuapishwa rais hawakufika. Je inamaanisha nini? Asiekubali kushindwa ni mgomvi. Lakini twamuachia mungu awafanye atakavyo.
Hivi CHADEMA nje ya kufikisha mafisadi mahakamani na kutoa posho ambazo hata wao bado wanazitamani,na uongo wa kusomesha watoto bure kitu ambacho hawawezi ni longolongo tu, ni muujiza gani watafanya?
Ngoja KATIBA MPYA YA WANANCHI ipatikane. Maswali yako yatakuwa mepesi sana kama ubuaHivi CHADEMA nje ya kufikisha mafisadi mahakamani na kutoa posho ambazo hata wao bado wanazitamani,na uongo wa kusomesha watoto bure kitu ambacho hawawezi ni longolongo tu, ni muujiza gani watafanya?
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.
CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!
Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!
Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!
Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015