Libyan Lebels ni sawa na CHADEMA nchini, tukiwachekea watatuletea maafa!

Naipendatz

JF-Expert Member
Jul 27, 2011
5,080
8,219
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.

CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!

Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!

Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!

Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
 
Libyan lebels=cdm nchini,ni wa kuogopwa zaidi ya ukoma! El 4 2015
Ugonjwa unaougua utapona siku chadema itakapoingia magogoni na si muda mrefu.
Mnaua watu wananchi wasio na hatia kila kukicha halafu mnaimbisha watu juu ya amani fake!
 
Huyu ni mang'aa wa siasa hata alichoandika hakieleweki unalinganisha Libya(ambako hawujui bunge nini ) na Tz
 
Everywhere they are called lebels! Hata hao wazungu wanaowasapoti wanawaita lebels,unajua maana ya lebels mkuu? Wale ni waasi tu utake usitake, kama cdm wanavyojaribu kuvunja aman ndani ya tz! El 4 2015
umeongea kinyume kaka, hakuna waasi libya ila NTC walikuwa waasi kwa gaddafi
lakini sasa hiyo ni NEW GOV ya libya na leo wamekabiziwa kiti chao rasmi UMOJA WA NCHI ZA AFRIKA
au hujui maana ya waasi? hata nyerere alikuwa muasi mbele ya mkoloni, tumia bichwa hilo sio kukariri maneno
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015
umenofurahisha sana wewe ,chadema ni zaid ya waasi wa libya,wao hata udiwani wako tayali kuua!
 
Chadema ni waasi kabisa...naomba itangazwe rasmi kua chadema ni janga la kitaifa kama malaria na ukimwi..mtuliepuke jamani..mwatanzania hamjazoea vita acheni kuwaendekeza wajinga wachache wenye uchu wa madaraka kwa propaganda za kutetea haki za watanzania na wengine vibaraka kama CUF na MTIKILA...fungueni macho yenu watanzania
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015
..acha utoto, Gaddafi hakuwa mzalendo!! wewe unafikiri aliua wangapi ili kukaa madarakani? Na watanzania acheni ushabiki wa kihohehahe, watu tunataka kama kiongozi hutakiwi na wananchi uondoke madarakani, siyo mtindo wa kuiba kura kama CCM ya Nape huku unasema wananchi wanakupenda kumbe wanaogopa kuuawa kama wanachadema walivyouawa Igunga.
 
Afrika hajawah kutokea na hatokuja kutokea rais mzalendo and mwenye msimamo kama gadaf! Cdm wanaua watu wao wenyewe halaf wanasingizia ccm ili wapate popularity kwa wananchi and kuchonganisha! Cdm ni waroho wa vyeo na fedha
..acha utoto, Gaddafi hakuwa mzalendo!! wewe unafikiri aliua wangapi ili kukaa madarakani? Na watanzania acheni ushabiki wa kihohehahe, watu tunataka kama kiongozi hutakiwi na wananchi uondoke madarakani, siyo mtindo wa kuiba kura kama CCM ya Nape huku unasema wananchi wanakupenda kumbe wanaogopa kuuawa kama wanachadema walivyouawa Igunga.
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015
Is it lebels or rebels? Shule za kata zina matatizo yake.
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015

wewe ni mbuzi unayewaza nyasi!!
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015
Kuna Mtanzania anakusapoti kweli?Kama yupo inawezekana mmepata discharge pamoja MILEMBE.
 
Chadema is an officially recognized institution and will vanquish JK through polls not demonstrations. We won't have to wait until matters exacerbate like in Libya but rather (will) keep on using political platform to clearly adddress CCM points of weakness to the voters.

Igunga has spoken and the movement ripples out the whole country which in the end will witness a peaceful overthrow of CCM regime.
 
ccm is destinied to govern this country in the next one hundred years simply because the existing opposition political parties are just a group of disorganized activists
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015


Kwa jinsi ulivyolalamika inaonesha wewe tayari ni maskini na umeikubali hali hiyo na umeshakata tamaa kabisa. Nahisi pia na umri wako ni wa uzeeni ndo maana unaogopa kufa. Kaa na umaskini wako (unaosema bora uwe nao ukiongozwa na CCM),tuache vijana tuitafute haki ili kujenga taifa jipya lenye maendeleo na kuheshimiana.
 
Back
Top Bottom