Kumbe ukimboka kapewa bilioni 3! Duh hi kali
Bi carefull mama watakulimboka afu wakupe billion 3
Katika hali inayoleta matumaini kituo cha haki na sheria kimeishaki serikali katika mahakama ya icc.
Akizungumzia hatua hiyo bibi helen kijo,alisema hatua hiyo ni ya mwanzo na hawatarudi nyuma hivyo kuwaomba watanzania kuwaunga mkono.
Bibi kijo amesema kuwa wameiomba mahakama hiyo kufanya uchunguzi wa mauwaji ya raia wasio na hatia yanayofanywa na serikali kupitia jeshi la polisi na kusema wamefungua pia shauri kama hilo katika mahakama ya africa.
Amesema kitendo cha serikali kuwahamisha watendaji wanaofanya mauwaji hayo na kuwapeleka sehemu nyingine bila kuwawajibisha hakivumiliki na kuwa hawata kaakinya mpaka watendaji hao watakapo wajibishwa na sheria kufata mkondo wake.
Huku akitolea mfano wa kamanda wa mkoa wa iringa aliye hamishiwa iringa kwa kosa la mauwaji
na kurudia kitendo kilekile cha kuwauwa raia wasio na hatia na mpaka sasa hajachukuliwa hatua yoyote,huku serikali kupitia waziri wa mambo ya ndani kwa kitumia kodi za walalahoi wakijaribu kuficha ushahidi.
Bibi kijo amesema ni lazima serikali iwawajibishe wote waliohusika na mauwaji ya watanzania na kusema si iringa pekee,ni pamoja na mikoa yote ambayo mauwaji kama hayo yalipotokea.
Mama unatumika vibaya , wanakutumia kisha watakuacha wakiisha timiza matakwa yao, CDM mpooooooo? naona mmeamua kutoka kivingine safari hii
Serikali haishitakiwi ICC! Hii ni mahakama ya makosa ya jinai ya kimataifa, inahukumu watu tu, haina jurisdiction juu ya States... Sema wame-apply for investigation, and that's upon the Prosecutor to accept or decline entering into oinvestigation.
No the prosecutor has no jurisdiction to commence investigation or deny the investigaation.. the only body under the ICC which even the prosecutor is subject too is the so called pre-trial chamber hiyo ndio inampa go ahead mwendesha mashitaka kuanza uchunguzi wakiona inafaa...hivyo kusea jurisdiction ni ya prosecutor sio sahihi kwa sababu hiyo chamber inaweza kutaka yeye achunguze hata kama yeye hajasema. Nakubaliana na wewe kwamba only individual are subject to ICC but viongozi wanashitakika take reference to ocampo 4 wa kenya.