Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
Kumbe ukimboka kapewa bilioni 3! Duh hi kali
Hilo jamaa linataka kumzushia ulimboka. Lipuuze. Lakini kama vp jiunge nae kwani magamba ndio zao.
Kumbe ukimboka kapewa bilioni 3! Duh hi kali
Bi carefull mama watakulimboka afu wakupe billion 3
Mama unatumika vibaya , wanakutumia kisha watakuacha wakiisha timiza matakwa yao, CDM mpooooooo? naona mmeamua kutoka kivingine safari hii
Mkuu lazima wawepo wahusika
Kenya akina UHURU KENYATA na WILIUM RUTO, Riberia CHARLES TELLOR, Ivory Coast GBAGBO nk
Sijui umegundua nin, hasa kwa jiran zetu wakenya?
Sasa kwa case hii ya kina Mwangosi, Ulimboka n.k nani atashtakiwa , Kikwete au Waziri wa mambo ya ndani au Mkuu wa majeshi ya Polisi?
Sasa kwa case hii ya kina Mwangosi, Ulimboka n.k nani atashtakiwa , Kikwete au Waziri wa mambo ya ndani au Mkuu wa majeshi ya Polisi?
angalia kwenye red alafu ujitathimini mwenyewe kama unakijua ulichoandika. umepotoka aisee, si kila kosa icc inaingilia kati, na wewe utakuwa shahidi wa wengi katika hili, utaona kama icc itachukua hatua yeyote, amini usiamini, nothing is going to happen, the only thing ambacho amekifanya huyu mama ni kuiweka aware selikali ili ijue kuwa kuna siku wanaweza kujikuta wamefikishwa kule hivyo wawe makini na operation zao..lakini si kwamba kwa haya ambayo yameshatokea kuna lolote litafanywa na icc. you very wrong aisee.Kwa maoni yangu wewe ndio unatuangusha watanzania kwa kuamini kuwa hatua inazo chukua serikali ya tanzania ni zenye nia ya kweli kutaka kuwawajibisha wabakaji wa DEMOKRASIA.Alichofanya huyu mama kinamkumbusha mwendesha mashtaka wa ICC kuanza kitupia macho serikali ya tanzania kwani amepata mahali kwa kuanzia. kimsingi siyo lazima yatokee mauaji ya halaiki ndio ICC waingilie.WEWE UMETUAIBISHA WATU WOTE TUNAO JUA KUSOMA NA KUANDIKA KWA KUANDIKA MAMBO MENGI YENYE DHAMIRA YA KUITETEA SERIKALI DHAIFU YA CCM.Haya ni mapambano,silaha yeyote inayo weza kusaidia kumshinda adui itumike tu,
Huyu mama ni mpuuzi matatizo ya Watanzania tunayamaliza wenyewe anajitafutia umaarufu wa kipumbavu.Damn
Huyu mama ni mpuuzi matatizo ya Watanzania tunayamaliza wenyewe anajitafutia umaarufu wa kipumbavu.Damn
Mkuu naona umekuja kivingine tena kwa Issue hii hii... Mwanzoni uliapa abadani asilani kuwa hawezi kwenda,Ukataka uelezwe nyia atakazopita;Tukakushtukia tukakuacha bila majibu. Sasa ameenda,Bado unauliza maswali yale yale kwa njia nyingine.
Binafsi sijui ni nini kinachokufanya ulalamike sana juu ya hii issue. Labda nikueleze jambo dogo sana la kukusaidia; UKISHINDWA KUFANYA JAMBO KWA AJILI YA NCHI YAKO,AKIFANYA MWENZAKO ULICHOSHINDWA KUFANYA KWANZA UNAPASWA UMPONGEZE NA SI KUMTUSI NA KUMKEJELI.