Maarko
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,189
- 602
Alichokifanya Mama Kijo ni hatua kubwa sana mbele,si lazima icc wachukue hatua lakini walau serikasli ijue watanzania wanajua haki zao zitapatkana wapi,lakini pia hata kama icc hawawezi kuchukua hatua walau watajua Tanzania kuna jambo baya linaendelea mwisho wa siku wakifikishwa huko vongozi wetu.