LHRC yaishtaki serikali ya Tanzania ICC

I like the move. I hate 'liwalo na liwe'. Nchi haiwezi kuendeshwa kwa ubabe wa vyombo vya dola kuwanufaisha wachache.
 
almasiomary said:
Awamu ya kwanza ya ukoloni ilikwishapita na kuzikwa. Ikaja awamu ya pili ambapo nchi huru zilikiona cha moto kwa kupunduliwa mfululizo kutumia vibaraka wanajeshi wengi wakiwa hawana elimu kama wakina idd amini, bokasa, na wengine. Tanzania ilipona kwa sababu mwalimu alijiwahi na kuanzisha usalama wa taifa ambao ni jabari linalowanyima usingizi vikaragosi wanaotaka kututia kwenye machafuko ilimradi watimize malengo ya uchu wao. Awamu ya tatu ya ukoloni ilikuwa ni kuwaandaa mafashisti kama savimbi naafonso dhlakama kuendesha vita za wenyewe kwa wenyewe nayo ikakoma bila mafanikio. Serikali huru za mozambique na angola kwa kusaidiwa na wakina baba wa taifa hayati mwalimu nyerere iliweza kuwasambaratisha. Awamu mpya inakuja na visingizio vya demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu. Hii ilifanikiwa nchi za misri na libya, lakini ivi sasa wanajuta na wanakula dhambi zao za kujkomba kwa wazungu. Icc ni kati ya taasisi zinazotumuka kuhalalisha huo udhalimu wa kuzivuruga nchi za afrika. Ndo maana hata huyu eleni kisima hawezi kuipeleka marekani au uingereza huko. Sasa hii kali kuuwawa kwa mwangosi huyu mama kisima anataka kuipeleka tanzania icc. Je atafaidika na nini?? Anatumwa au anatumiwa na nani?? Akishafungua kesi tutaanika mpango mzima kwenye hii jf watanzania waamke usingizini wajue wanaishi na watu wa namna gani na wanataka kutupeleka wapi.
almasiomary said:
Mama Helen Kisima anatafuta nini ICC ni kitu gani akikueleweka mpaka akaipakazie nchi kwenye mataifa ya nje??. Hii ni hatari kwa rekodi ya nchi na kama unadhani hawa pua ndefu wanaitakia mema Afrika endelea kupeleka hizo kesi kuna siku utaelewa kuwa hawakutakii mema

Mpuuzi at work. Mtajiju
 
But Tanzania ni mkondo wa wawekezaji na wanatotk nchi ambazo ni powerful kwa ICC!!! Sasa basi kina mfalme Mswati watapelekwa? Sijui?!!
 
mama kama ni ushilikiano mimi ni namba moja kuunga mkono suala hilo mimi najiuliza ya kuwa nchimbi udaktari wake ni wa kusomea au na kama kweli ni daktari je inakuwaje anatoa maamuzi kama ya mtu ambaye ndoi anaitafuta digrii ya kwanza kiukweli ripoti ya nchimbi hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kuikosoa kwa jinsi ilivyo na mapungufu na hasa ukizingatia ya kuwa watu wote walishuhudia kilichotokea hukoiringa kwani viedo na ushuda kutoka kwa watu unaonyesha hadharani sasa iweje nchimbi anatoa taarifa kana kwamba yeye ndo aliyesoma peke yake kwanza tume yake iliyoundwa imetumia fedha ya wananchi na kuficha ukweli yeye binafsi anatakiwa kujiuzuru kwa kutumika vibaya pesa yetu wavuja jasho wa nchi hii na alijua ya kuwa kuna masuala ya sheria ambayo hayatakiwi kuwekwa hadharani ya nini tume iundwe
repoti yake inasema ya kuwa nguvu ya polisi haikutumika moja kwa moja basi atuambie polisi katika hilo tukio walitumika namna gani kwani tunachokitaka ni jinsi hawa polisi wa ccm walivyotumika katika hili suala ushauri wangu nchimbi mkuu wa polisi kamanda wa polisi iringa na wenzake araka mara waliohusika katika tukio hilo waachie madaraka yao mara moja
 
Hapa kuna mambo. Hivi mtanzania anaweza kuishitaki serikali yake icc ili haliakijua ni kutafuta umaarufu binafsi na kuidhalilisha nchi?? Inabidi maslahi yake nayo yasitishwe mpaka kesi itakapoisha huko icc
 
Wewe akili zako ziko mwisho wa dunia. Yaan uendelee kuvumilia uonevu wa serikali ukiogopa eti nchi yako itaaibika?
 
kwani serikali inavyoua raia wake ni uzalendo au kutafuta umaarufu.!
 
Hapa kuna mambo. Hivi mtanzania anaweza kuishitaki serikali yake icc ili haliakijua ni kutafuta umaarufu binafsi na kuidhalilisha nchi?? Inabidi maslahi yake nayo yasitishwe mpaka kesi itakapoisha huko icc

Serikali dhalimu/katili kama ya Idd Amin ikishitakiwa utalaumu? Hii serikali inatend kuwa ya kidhaimu. Kumbuka visa vya ounevu-Ulimboka, vifo kwenye mikutano ya CMD, Mwangosi, migodi na athali zake kwa wakazi wa north mara na kwingine na mengi mengi sana. Ni sahihi kabisa kuishtaki.
 
Ha ha ha ha kuua raia ni uzalendo?big up sana kila muhusika aliyefanikisha mpango wa icc,watu kama wewe ndio mnarudisha nyuma hili taifa lazima tuweze kila mmoja kusema kwa ujasiri black is black,white is white,right is right and wrong is wrong sio ujinga wa mtu anakukanyaga unamuambia samahani unanikanyaga ondoa mguu wako this is stupidity anakukanyaga mwambie toa mguu bwana,
 
Kuishitaki Serikali ya Tanzania inayoongozwa na JK na Said Mwema kama IGP ni Uzalendo Mkubwa sana
 
Mkuu mmwaisoba,

- Huo umaarufu unadhani "anautafutia" kwa nani?
-Ili iweje?

Kutokana na mamvo yanayoendelea hapa nchini(TZ) hasa mauaji SIDHANI kama ni kutafuta "umaarufu"..besides mbona hao watanzania wenyewe ni maarufu hata kavla ya kuishtaki Serikali huko ICC?!

Hebu serikali itende hakibasi, tuone kama itashtakiwa!
Yale uliyoyasikia/kusikia nchi nyingine marais wastaafu kufungwa yalianza HIVI HIVI shida ni kwamba viongozi wetu wanapuuza mambo!
 
Hapa kuna mambo. Hivi mtanzania anaweza kuishitaki serikali yake icc ili haliakijua ni kutafuta umaarufu binafsi na kuidhalilisha nchi?? Inabidi maslahi yake nayo yasitishwe mpaka kesi itakapoisha huko icc
huyo mama amejidhalilisha yeye mwenyewe tu kwasababu ameenda kujionyesha the hague kuwa yeye ni mweupe kabisa wa sheria, as if tz hakuna wanasheria waliobobea wa sheria za jinai ya kimataifa. anachotakiwa kuelewa ni kwamba, mauaji yakitokea, yakagusa kati ya makosa haya matatu (mauaji ya halaiki, mauaji ya kimbari na mauaji ya kivita), ndo icc inaweza kuingilia kati kuanza upelelezi ili kuona kama kweli yametokea. lakini hawaingii haraka tu, kuna principle moja inaitwa principle of complimentarity ipo article 17 of the Rome statute of international criminal court/icc statute, inasema kuwa, kama nchi itakuwa imechukua hatua stahiki kuadhibu au kushughulikia perpetrator, basi icc haina uwezo kuingilia kati. pia wanangoja walau mwaka mmoja ndo wanakuja ili kusubiri kama nchi imefanya lolote au la. kama ulivyoona kenya, walisubiri the whole year ndo wakaja, hiyo ipo kwenye statute yao, hawaendi kisiasa tu.

pili ni kwamba, the icc can only prosecute serious crimes of international concern, not every murder is admissible before the court. sio kila ukiona mauaji basi wanakuja, hapana, ni yale mauaji serious kwa dunia ambayo ni matatu tu hayo (crime against humanity/mauaji ya halaiki, genocide/mauaji ya kimbari na makosa ya kivita/war crimes). katika kila kosa nililolotaja hapo, lina ingeredient zake, ambazo kwa wale wanaojua sheria, hakuna hata kosa moja litaidondokea viongozi wa tz kutokana na yote yaliyotokea. icc imeacha mauaji ya kawaida ambayo hayadondokei kwenye hayo makosa matatu kwa nchi husika zichukue hatua. ndio maana yule kijana iringa amefikishwa mahakamani na tume imeundwa. pamoja na kwamba kama itaonekana nchi imelishughulikia kwa nia ya kulinda wahalifu icc inaweza kuingilia kati, kwa makosa haya haiwezi kuingilia kati kwasababu ingredient zake zote za makosa yote yaliyotokea hayajafikia kiwango cha makosa hayo matatu.

kama icc ingekuwa inapokea kila mauaji, wasingeweza kufanya kazi kwasababu wangekuwa na kesi hata milioni, pale wana limited resources, na wafanyakazi na hawawezi kupokea kesi nyingiii ndio maana wamechangua makosa machache tu hayo kushughulikia hayo tu ambayo ni most serious kwa wanaulimwengu, na mengine hayo ya kawaida wameziachia nchi husika.

HIVYO, yeye mama anasema kuwa amepeleka malalamiko icc, amepelekaje? alienda officially au alikutana na Fatou/prosecutor kwenye mgahawa wa kahawa?, kama alipeleka officially, hawampokei, kwasababu sheria yao inasema, only through three ways the court can be moved to initiate investigation. through the security council, through state party/nchi, na through the prosecutor himself. hawapokei malalamiko ya individual persons...ameenda hapo kujiaibisha tu.

ajabu ni kwamba, walipendekeza tu mafungu ya watu wachache tu hao nimewataja wapeleke malalamiko na kuinitiate investigation, kwasababu walikuwa wanataka kuzuia busy bodies kama hawa...wanaotafuta umaarufu tu, na hawajui sheria kabisa.

ambacho amefanya hapo ni kwamba, icc wamechukua alichopeleka na kukiweka kwenye kapu la takataka, kwasababu wamemhurumia kuona kuwa hajui procedure halisi ya kufuata. ninachoweza kumpongeza tu ni kule kupeleka lalamiko kwa UN special repeture anayeshughulikia extra judicial killings, ambaye hata hivya hana meno kwa nchi, hana nguvu yeyote. pia, icc hawawezi kuingilia hii kwasababu wanajua kuwa it is not a serious crime of international concern, WANAMSHANGAA TU KUONA HUYU MAMA ANAYEJIITA DOCTOR VIPI, phd yake ni ya nini? si angeuliza tu hata kwa vijana wadogo tu hapa tz wangemwambia, ambao wana ujuzi huo?

kwa kifupi, nawapongeza sana wanasheria wa ofisi ya AG, wameishauri vizuri ofisi ya Nchimbi kuanzisha upelelezi haraka na kumpeleka dogo mahakamani, kwasababu kwa kufanya hivyo wanaonyesha kuwa wanalijua vizuri suala la principle of complimentarity. huyu mama huwa namwonea huruma sana, yaani mume wake kama bado yupo hai warudiane naye tu, kwasababu stress za kukosa mume zinamfanya awe anafanya mambo ya ajabu bila kuomba hata ushauri kwa wajuzi.
 
huyo mama amejidhalilisha yeye mwenyewe tu kwasababu ameenda kujionyesha the hague kuwa yeye ni mweupe kabisa wa sheria, as if tz hakuna wanasheria waliobobea wa sheria za jinai ya kimataifa. anachotakiwa kuelewa ni kwamba, mauaji yakitokea, yakagusa kati ya makosa haya matatu (mauaji ya halaiki, mauaji ya kimbari na mauaji ya kivita), ndo icc inaweza kuingilia kati kuanza upelelezi ili kuona kama kweli yametokea. lakini hawaingii haraka tu, kuna principle moja inaitwa principle of complimentarity ipo article 17 of the Rome statute of international criminal court/icc statute, inasema kuwa, kama nchi itakuwa imechukua hatua stahiki kuadhibu au kushughulikia perpetrator, basi icc haina uwezo kuingilia kati. pia wanangoja walau mwaka mmoja ndo wanakuja ili kusubiri kama nchi imefanya lolote au la. kama ulivyoona kenya, walisubiri the whole year ndo wakaja, hiyo ipo kwenye statute yao, hawaendi kisiasa tu.

pili ni kwamba, the icc can only prosecute serious crimes of international concern, not every murder is admissible before the court. sio kila ukiona mauaji basi wanakuja, hapana, ni yale mauaji serious kwa dunia ambayo ni matatu tu hayo (crime against humanity/mauaji ya halaiki, genocide/mauaji ya kimbari na makosa ya kivita/war crimes). katika kila kosa nililolotaja hapo, lina ingeredient zake, ambazo kwa wale wanaojua sheria, hakuna hata kosa moja litaidondokea viongozi wa tz kutokana na yote yaliyotokea. icc imeacha mauaji ya kawaida ambayo hayadondokei kwenye hayo makosa matatu kwa nchi husika zichukue hatua. ndio maana yule kijana iringa amefikishwa mahakamani na tume imeundwa. pamoja na kwamba kama itaonekana nchi imelishughulikia kwa nia ya kulinda wahalifu icc inaweza kuingilia kati, kwa makosa haya haiwezi kuingilia kati kwasababu ingredient zake zote za makosa yote yaliyotokea hayajafikia kiwango cha makosa hayo matatu.

kama icc ingekuwa inapokea kila mauaji, wasingeweza kufanya kazi kwasababu wangekuwa na kesi hata milioni, pale wana limited resources, na wafanyakazi na hawawezi kupokea kesi nyingiii ndio maana wamechangua makosa machache tu hayo kushughulikia hayo tu ambayo ni most serious kwa wanaulimwengu, na mengine hayo ya kawaida wameziachia nchi husika.

HIVYO, yeye mama anasema kuwa amepeleka malalamiko icc, amepelekaje? alienda officially au alikutana na Fatou/prosecutor kwenye mgahawa wa kahawa?, kama alipeleka officially, hawampokei, kwasababu sheria yao inasema, only through three ways the court can be moved to initiate investigation. through the security council, through state party/nchi, na through the prosecutor himself. hawapokei malalamiko ya individual persons...ameenda hapo kujiaibisha tu.

ajabu ni kwamba, walipendekeza tu mafungu ya watu wachache tu hao nimewataja wapeleke malalamiko na kuinitiate investigation, kwasababu walikuwa wanataka kuzuia busy bodies kama hawa...wanaotafuta umaarufu tu, na hawajui sheria kabisa.

ambacho amefanya hapo ni kwamba, icc wamechukua alichopeleka na kukiweka kwenye kapu la takataka, kwasababu wamemhurumia kuona kuwa hajui procedure halisi ya kufuata. ninachoweza kumpongeza tu ni kule kupeleka lalamiko kwa UN special repeture anayeshughulikia extra judicial killings, ambaye hata hivya hana meno kwa nchi, hana nguvu yeyote. pia, icc hawawezi kuingilia hii kwasababu wanajua kuwa it is not a serious crime of international concern, WANAMSHANGAA TU KUONA HUYU MAMA ANAYEJIITA DOCTOR VIPI, phd yake ni ya nini? si angeuliza tu hata kwa vijana wadogo tu hapa tz wangemwambia, ambao wana ujuzi huo?

kwa kifupi, nawapongeza sana wanasheria wa ofisi ya AG, wameishauri vizuri ofisi ya Nchimbi kuanzisha upelelezi haraka na kumpeleka dogo mahakamani, kwasababu kwa kufanya hivyo wanaonyesha kuwa wanalijua vizuri suala la principle of complimentarity. huyu mama huwa namwonea huruma sana, yaani mume wake kama bado yupo hai warudiane naye tu, kwasababu stress za kukosa mume zinamfanya awe anafanya mambo ya ajabu bila kuomba hata ushauri kwa wajuzi.


wee msomi na mjuzi wa sheria ktk hali kama hii iliyopo: mtuhumiwa ni serikali au wakala wake, kamati ya uchunguzi ni ya serikali, mpelelezi ni serikali, mwendesha mashitakata ni wa serikali mahakama nazo sawia na mwisho hata chembe ya sauti ya uongozi wa juu ya kukemea hakuna.
Ripoti za tume kufichwa na kesi kama zipo danadana hadi zasahaulika. Isingekuwa video na picha unafikiri mtuhumiwa gani angefika mahakamani, ambao walishasikwa wametoroka mikononi mwa askari...Bisimba akae tuuu, heshimu mama zako na sio kumtukana eti stress za kuachwa. Laana na sheria zako uchwara
 
ni uzalendo sana2 kuishtak serkali nafiki inayotumia vyombo vya dola kuua na kunyanyasa raia huku wao wakijilimbikizia mali na kuish maisha ya kifalme huku walala hoi wakikosa hata milo miwili '' heko kanyaga twende'' kila la kheri wanaharakati wa kutetea haki za wanyonge
 
Ni ubinafsi, Ufisadi...

Remember watu wanatafuta nobel award hapa!!! Sasa angalia kama utasikia chochote kuhusu kuuwawa kwa polisi yeyote... angalia mgomo wa Madaktari... They never thought kuna raia walikuwa wakifa na wengine kuteseka... Haki za Binadamu kwa nchi za Kiafirika ni usanii, unafiki na uzandiki.
 
Serikali ya nani ati? Hii ni serikali ya mafisadi na matajiri kwa kuwa ndiyo inaowahudumia vizuri! Kwa akina mwanyengo hii ni kikosi cha watesaji.
 
Back
Top Bottom