lazima tuseme ukweli,chadema ni chama cha kihuni tu,ni chama kilichojaa ukabila,hasa uchaga!wanaokihama wanaona mbali sana,acha watz wadanganyike,wachague hk chama 2015,wengi mtakuwa wapagazi wa wachaga,enzi za manamba zitarudi,mi niko ethiopia,kazi kwenu ndugu.
Walewale wenye uchu wa madaraka,kwani ukiwa mwenyekiti lazima uteuliwe wewe tu kuwa mbunge viti maalum? kama unaona unaubavu kwanini usiomne jimbo ugombee? mimi nina wasiwasi na uwezo wa huyu mama,hajui hata pa kukimbia yaani unakurupuka kukimbia kwenye mafanikio unaingia kwenye kaburi,mi sina cha kumshauri tofauti na kumwambia R.I.PMuda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
wachaga na chadema,acha watz masara mliwe.Huyo Shibuda kafukuzwa huko kusiko ukabila, Kafulila alilia NCCR walipomfukuza sizungumzii CDM kwani ni watuhumiwa.. Uroho wa madaraka.
Duh!kakihama chama kitakatifu!chenye viongozi na wanachama watakatifu!
Wacha utoto, unataka chama kiwe cha kanda ya kasikazini tu? Usiwe na hasira zisizo na maana, Gombea na wewe basi jimboni kwenu ukatoe mchango wa kumkimbiza chamani, unakaa kijiweni na kujenga chuki zisizo na msingi. Ina maana mpaka sasa huoni mchango wake chamani na Taifa kwa ujumla?
Bunge lililopita walikuwa wabunge wa chadema wa kuchaguliwa wangapi? fuatilia uone michango yake ilikuwa mizuri kiasi gani na kwa faida ya chama na taifa kwa ujumla.
Angalia, majimbo aliyokwenda kufanya kampeni kusaidia chama jinsi alivyokuwa anafunika mikutanoni, MUsoma, kibaha, shinyanga, lindi, Rukwa na majimbo mengine mengi.
Hakika nakwambia ZiTTo ana mchango mkubwa katika chama na taifa hili, kama humjuwi kaa kimya amefanya makubwa na ataendelea kufanya makubwa.
Na kugombea kwake, nafasi yoyote chamani ana haki ya msingi wala asipuuzwe, labda kama chama ni mali ya watu wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara tu. Kuwepo kwake kunachangia kutanua chama sehemu mbalimbali.
Kama ni kujenga hoja anao uwezo, na ni jasiri.
Si vema kumsakama kwa kuwa ana uhuru wa kutoa mawazo yake ili kupanua Demokrasia na si vema kukurupuka kumfukuza mwanachama mwenye mchango mkubwa ndio maaana tulimpoteza kafulila, huyu jamaa angekuwa mbunge wa chadema.
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
Tatizo la huyu mama yetu alikariri kwamba yeye lazima ilikuwa awe mbunge wa viti maalumu kwa sababu tu alikuwa mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Bahati mbaya kwake ni kwamba hatukuwa na kigezo specific cha kumlenga mwenyekiti wa bawacha au kiongozi yeyote mwingine. Katika vigezo tulivyotumia yeye aliangukia kwenye namba 29 kama inavyoonekana katika orodha hapa chini ya first 40 candidates.
Katika safari hii ya mapambano sio abiria wote watakaofika mwisho wa safari; wapo watakaoshukia njia-huyu ni mojawapo!!
1.Lucy Fidelis OwenyaOrodha ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu-CHADEMA
Orodha ya wanawake 40 wa juu
2. Esther Nicholas Matiko
3. Mhonga Said Ruhwanya
4. Anna MaryStella John Mallac
5. Halima James Mdee
6. Paulina Philipo Gekul
7. Conjesta Leos Rwamlaza
8. Susan Kiwanga
9. Grace Sindato Kiwelu
10. Susan Lyimo
11. Regia Mtema
12. Christowaja Mtinda
13. Anna Valerian Komu
14. Mwanamrisho Abama
15. Joyce Mukya
16. Leticia Mageni Nyerere
17. Naomi Kaihula
18. Chiku Abwao
19. Rose Kamil Sukum
20. Christina Lissu Mughiwa
21. Raya Ibrahim Hamisi
22. Philipa Geofrey Mturano
23. Mariam Salum Msabaha
24. Rachel Mashishanga Robert
25. Sabrina Hamza Sungura
26. Rebecca Michael Mngodo
27. Cecilia Daniel Pareso
28. Subira Shabani Waziri
29. Leticia Gati Musore
30. Helen John Kayanza
31. Rosana Osemu Chapita
32. Mona Shomary Bitakwate
33. Evarim Adrian Mpangama
34. Asha Sudi Kayumba
35. Hija Rashid Wazee
36. Mary James Martin
37. Sophia Hebron Mwakagenda
38. Bupe Odeni Kyambika
39. Magreth Thadei Mangowi
40. Esther Cyprian Daffi
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
Leo ndio ameona hayo siku zote alikuwa wapi?
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
bado Zitto ,yaani huyu siku akiondoka ntalipia hata kikosi cha matarumbeta toka pale magomeni na wale wacheza vibao kata wamsindikize huko CCM
lazima tuseme ukweli,chadema ni chama cha kihuni tu,ni chama kilichojaa ukabila,hasa uchaga!wanaokihama wanaona mbali sana,acha watz wadanganyike,wachague hk chama 2015,wengi mtakuwa wapagazi wa wachaga,enzi za manamba zitarudi,mi niko ethiopia,kazi kwenu ndugu.