D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,902
- 1,067
Manispaa ya Songea inashindwa kutoa leseni za biashara kwa wakati, kumekuwa na tatizo hilo yapata mwezi sasa wafanyabiashara wanalalamikia Ofisi ya Afisa Biashara Manispaa ya Songea kushindwa kuwapa leseni za biashara zao.
Maafisa Biashara Wasaidizi wamekuwa wakiwajibu Wafanyabiashara wanaohitaji leseni hizo kuwa mtandao toka TAMISEMI unasumbua na ndio maana wao wanashindwa kutoa leseni kwa wakati.
Unajiuliza hivi Serikali kweli wapo makini katika kukusanya Mapato? Inawezekanaje kwa Dunia ya sasa mtandao unasumbua mwezi mzima? au kuna hujuma hapa au kutaka Rushwa?
Maafisa Biashara Wasaidizi wamekuwa wakiwajibu Wafanyabiashara wanaohitaji leseni hizo kuwa mtandao toka TAMISEMI unasumbua na ndio maana wao wanashindwa kutoa leseni kwa wakati.
Unajiuliza hivi Serikali kweli wapo makini katika kukusanya Mapato? Inawezekanaje kwa Dunia ya sasa mtandao unasumbua mwezi mzima? au kuna hujuma hapa au kutaka Rushwa?