DOKEZO Wiki ya pili watu wamelipia leseni za biashara lakini hawapewi, kila wakiuliza wanaambiwa vitabu hakuna

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

TensorFlow

JF-Expert Member
Feb 11, 2020
812
969
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke haijaweza kutoa leseni za biashara kwa watu waliolipia tayari tangu wiki iliyopita. Binafsi ninasubiria leseni, hivi karibuni baada ya kufuatilia sana mara ya mwisho nilijibiwa hivi "wewe elewa kuwa huwezi kupata leseni kwa sababu vitabu hakuna na vinasubiriwa kutoka mkoani." Kimsingi nilikumbana na mlolongo wa majibu kama ifuatavyo tangu wiki iliyopita:

1. Anayetoa leseni ametoka.

2. Kuna shida ya mtandao kulipia.

3. Hakuna vitabu vya leseni.

Niliwauliza tatizo liko kwa nani ? Wakanijibu wewe elewa tu kuwa hakuna vitabu.

Wanachukulia issue kirahisi wakati wafanyabiashara wanalipia sehemu za biashara, hasa biashara mpya, na kuingia gharama zingine na kupata hasara kila siku bila kufanya biashara.

Raisi aliongea jana na kuhimiza kuwa vijana watafute ukwasi kwa kufanya biashara. Kuwa serikali haitoi ajira bali inatengeneza mazingira ya kujiajiri. Nilimwelewa sana.

Lakini Kuna mambo kama haya yanawaletea hasara na kuwarudisha nyuma vijana na watu wengine.

Rai: wahusika wafuatilie na kutatua hizi changamoto.
 
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke haijaweza kutoa leseni za biashara kwa watu waliolipia tayari tangu wiki iliyopita. Binafsi ninasubiria leseni, hivi karibuni baada ya kufuatilia sana mara ya mwisho nilijibiwa hivi "wewe elewa kuwa huwezi kupata leseni kwa sababu vitabu hakuna na vinasubiriwa kutoka mkoani." Kimsingi nilikumbana na mlolongo wa majibu kama ifuatavyo tangu wiki iliyopita:

1. Anayetoa leseni ametoka.

2. Kuna shida ya mtandao kulipia.

3. Hakuna vitabu vya leseni.

Niliwauliza tatizo liko kwa nani ? Wakanijibu wewe elewa tu kuwa hakuna vitabu.

Wanachukulia issue kirahisi wakati wafanyabiashara wanalipia sehemu za biashara, hasa biashara mpya, na kuingia gharama zingine na kupata hasara kila siku bila kufanya biashara.

Raisi aliongea jana na kuhimiza kuwa vijana watafute ukwasi kwa kufanya biashara. Kuwa serikali haitoi ajira bali inatengeneza mazingira ya kujiajiri. Nilimwelewa sana.

Lakini Kuna mambo kama haya yanawaletea hasara na kuwarudisha nyuma vijana na watu wengine.

Rai: wahusika wafuatilie na kutatua hizi changamoto.

Na bado ndani ya changamoto zao faini itakuhusu:

Serikali isiyohitaji kodi haramu inaposhangilia mapato haramu
 
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke haijaweza kutoa leseni za biashara kwa watu waliolipia tayari tangu wiki iliyopita. Binafsi ninasubiria leseni, hivi karibuni baada ya kufuatilia sana mara ya mwisho nilijibiwa hivi "wewe elewa kuwa huwezi kupata leseni kwa sababu vitabu hakuna na vinasubiriwa kutoka mkoani." Kimsingi nilikumbana na mlolongo wa majibu kama ifuatavyo tangu wiki iliyopita:

1. Anayetoa leseni ametoka.

2. Kuna shida ya mtandao kulipia.

3. Hakuna vitabu vya leseni.

Niliwauliza tatizo liko kwa nani ? Wakanijibu wewe elewa tu kuwa hakuna vitabu.

Wanachukulia issue kirahisi wakati wafanyabiashara wanalipia sehemu za biashara, hasa biashara mpya, na kuingia gharama zingine na kupata hasara kila siku bila kufanya biashara.

Raisi aliongea jana na kuhimiza kuwa vijana watafute ukwasi kwa kufanya biashara. Kuwa serikali haitoi ajira bali inatengeneza mazingira ya kujiajiri. Nilimwelewa sana.

Lakini Kuna mambo kama haya yanawaletea hasara na kuwarudisha nyuma vijana na watu wengine.

Rai: wahusika wafuatilie na kutatua hizi changamoto.
Hiyo ndiyo furaha ya Tundu Lisu
 
Basi wananchi wana imani kwamba serikalini wapo malaika ambao huwa hawakosei na hamna makosa kamwe.
 
Hujazoea tu nchi yetu
Ukimpa chochote kitu mbona hivyo vitabu vya risiti vitapatikana tena haraka haraka
 
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke haijaweza kutoa leseni za biashara kwa watu waliolipia tayari tangu wiki iliyopita. Binafsi ninasubiria leseni, hivi karibuni baada ya kufuatilia sana mara ya mwisho nilijibiwa hivi "wewe elewa kuwa huwezi kupata leseni kwa sababu vitabu hakuna na vinasubiriwa kutoka mkoani." Kimsingi nilikumbana na mlolongo wa majibu kama ifuatavyo tangu wiki iliyopita:

1. Anayetoa leseni ametoka.

2. Kuna shida ya mtandao kulipia.

3. Hakuna vitabu vya leseni.

Niliwauliza tatizo liko kwa nani ? Wakanijibu wewe elewa tu kuwa hakuna vitabu.

Wanachukulia issue kirahisi wakati wafanyabiashara wanalipia sehemu za biashara, hasa biashara mpya, na kuingia gharama zingine na kupata hasara kila siku bila kufanya biashara.

Raisi aliongea jana na kuhimiza kuwa vijana watafute ukwasi kwa kufanya biashara. Kuwa serikali haitoi ajira bali inatengeneza mazingira ya kujiajiri. Nilimwelewa sana.

Lakini Kuna mambo kama haya yanawaletea hasara na kuwarudisha nyuma vijana na watu wengine.

Rai: wahusika wafuatilie na kutatua hizi changamoto.
Temeke ni shamba la bibi.

Tupo vizuri
 
Back
Top Bottom