alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,682
- 12,150
Hebu dadavua kwa faida ya wengi? Iko vipi?huyu jamaa alikua na matatizo yakifamilia..nimeamini mengi yanatungwa humu
Hebu dadavua kwa faida ya wengi? Iko vipi?huyu jamaa alikua na matatizo yakifamilia..nimeamini mengi yanatungwa humu
Baada ya kuisikia hii nimeapa sitagusa Marekani.Watu kuuliwa ni kawaida duniani kote hata huko Ulaya watu wanauliwa, Marekani kila dakika moja wanauwawa watu hamsini"- Cyprian Musiba(Dw Interview, Saturday 27. July, 2019.
The future is not so bright
Sawa ila hapa JF wanaexagerate ati utekaji ni masuala ya kisiasa!! This is not true kwani winchi hakujihusisha na siasa.huyu jamaa alikua na matatizo yakifamilia..nimeamini mengi yanatungwa humu
Dawati la EU wapi na wapi na pesa za uchaguzi? Tutajua tu!Hapa lazima kuna jambo linafukuta chini kwa chini. Ni kwanini atekwe wakati huu wa kuelekea uchaguzi....muda ambao pesa nyingi huchotwa ovyo kutoka BoT na kuelekezwa kwenye siasa? Kagoma kutoa fedha au nini? Yajayo yanasikitisha.
Maana kizazi cha Marekani kinakua endangered specie. Kama kila dakika wanauwawa idadi hiyo ya watu, saa zima inakuaje?siku moja je? Wiki, mwezi?😃😃😃Baada ya kuisikia hii nimeapa sitagusa Marekani.
Mara mkuranga umekutwa mwili, mara alirudishwa kwa kinyerezi akadai alichanganyikiwa! so which is which? au umechanganyikiwa wewe mleta habari? Ukiwa mwongo usiwe msahaulifuWakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza Nyumbani kwake Kinyerezi,Tabata. Baada ya ndugu na majirani kumuhoji alidai alichanganyikiwa tu.
Juzi alhamisi wiki iliyopita alitekwa tena na baada ya ndugu kutoa taarifa Polisi walisema wasubiri baada ya SAA 72, Leo hii Asubuhi mwili wake Amekutwa akining'inia huko Mkuranga.
Taarifa zaidi zinakuja
Huyo mpuuzi kasemaje?Ansbert Ngurumo ameeleza kilichompata kupitia mtandao wa twitter.
Ni nini tena Mungu wangu? Mkuranga tena?Ni bora kujitanguliza kabla ya kubambikwa kesi ya uhujumu uchumi... Mungu amrehemu marehemu wetu!