Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,092
- 13,979
Wasiojulikana inatumika sana kisiasa na akili zangu haziendeshwi kisiasa bali ushahidi.Tanzania is a prison this time around!
Kama wewe huoni tatizo heri yako ndugu yangu!
Kama kuna utawala tumeuweka madarakani utulinde na kusimamia kila kitu,then mambo mabaya yanatokea consistently ndani ya nchi,then ni state sponsored,aidha directly which is true au by their sheer neglect kutimiza mandate tuliyowapa!
Tanzania at the moment declared under totalitarian dictatorship,hii huwezi kubisha!
Sometimes uwe honest!