Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,102
Awamu ya tesa, ua nyonga. Hakika damu zao kamwe hazitaenda bure, zitawalilia daima watesi hawa.
.HUU MWENDO SIYO.
::mwinyi
::mkapa
::kikwete
::wazee wa chama.
::NINI HIKI?
Una uhakika?Daaah RIP
Huyu Mzee tunaishi nae mtaa mmoja kinyerezi
Angekuwa kapoteza police mwenzao msako ingeanza pale pale. Hata sijui utaratibu wa saa 72 umeanzishwa na nani. Hii inatutia shaka sana kuhusu utendaji wa jeshi letu la polisi.pole mno kwa wafiwa,BUT mtu ameripotiwa kupotea na jeshi la polisi linawajibu wanandugu wasubiri kwanza 72hrs ndio msako uanze,tukiambiwa tunaishi in a pithole country tunalalamika mno,common police mtu akipotea msako unaanza straight sio kusubiri,huyu atakuwa ni another Akwilina,tutamsahau punde ,maana sisi ni mahodari wa kulalama mitandaoni.
yani anatumia US kama kigezo, hatari sana..Watu kuuliwa ni kawaida duniani kote hata huko Ulaya watu wanauliwa, Marekani kila dakika moja wanauwawa watu hamsini"- Cyprian Musiba(Dw Interview, Saturday 27. July, 2019.
The future is not so bright
Kwa Marekani mtuhumiwa wa hayo mauwaji anayodai yanafanyika sio serikali. Ni mauwaji yanayotekelezwa na magenge ya uhalifu au watu waliochanganyikiwa na kutumia silaha vibayayani anatumia US kama kigezo, hatari sana..
Wakuu, Habari zilitufikia hivi punde ni kwamba aliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopord Lwajabe Amekutwa Amefariki huko Mkuranga.
Lwajabe alitekwa na watu wasiojulikana Akiwa ofisini kwake baada ya kupigiwa simu Stoke nje ya Ofisi, Walimshikilia kwa siku 3 kisha kumutelekeza Nyumbani kwake Kinyerezi,Tabata. Baada ya ndugu na majirani kumuhoji alidai alichanganyikiwa tu.
Juzi alhamisi wiki iliyopita alitekwa tena na baada ya ndugu kutoa taarifa Polisi walisema wasubiri baada ya SAA 72, Leo hii Asubuhi mwili wake Amekutwa akining'inia huko Mkuranga.
Taarifa zaidi zinakuja
======
Mkurugenzi msaidizi wa miradi inayotekelezwa na Umoja wa Ulaya nchini kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, Leopold Lwajabe amekutwa amekufa wilayani Mkuranga.
Taarifa za zilizotolewa na msemaji wa wizara hiyo, Benny Mwaipaja zimesema wamejiridhisha kuhusu kifo hicho, muda mfupi wakijiandaa kutoa taarifa ya kumtafuta.
“Alitoweka wakati fulani wiki iliyopita lakini akaonekana. Ilikuwa ni muda mfupi baada ya kurejea nyumbani kwake kutoka kazini. Alipoonekana alitakiwa kwenda kutoa maelezo polisi lakini kabla hajafanya hivyo, akapotea tena. Leo ilikuwa tutoe taarifa kwa vyombo vya habari kumtafuta,” amesema Mwaipaja.
Mkwaipaja amesema walisitisha kutoa taarifa hiyo baada ya kupokea fununu za mwili wake kuonekana huko Mkuranga hivyo wakatuma watu kwenda kujiridhisha na kukuta ni kweli.
Kifo hicho kimethibitishwa leo, Julai 29.
Alikuwa mwanasiasa huyu marehemu?Awamu hii kama una mishe zako zinazokuingizia kipato ni vyema ukatulia, Mambo ya kujiingiza katika siasa mwisho wake ndio kama huu...
Kama huwezi kuisifia ni vyema ukaacha kujihusisha na siasa...
Apumzike kwa amani.
labda kwa kushirikiana nao, ie kuwapa info kina ZZK {Zana Za Kilimo) n.k.Alikuwa mwanasiasa huyu marehemu?