TANZIA Leopold Kweyamba Lwajabe amekutwa amefariki Mkuranga baada ya kupotea wiki iliyopita

IMG_20190729_233633.jpg
 
Hakika kila nafsi itaonja mauti, ila huyu kaonjeshwa mauti. Hii hali haikuwepo hapo zamani. I wonder why inashamiri sana sasa hivi.
 
Watekaji wanataka hela kutoka EU kwa ajili ya uchaguzi nini? Tuko pamojA nao ndg wa marehemu pia tunatoa pole kwa wafiwa wote.
Nalog off
 
Kuna wakatyi inabidi tufunge mibakuli yetu katika mambo mengine,maana kufunua bakuli ni hatarui sana kutegemeana na kizazi kinachoendelea.
Inna lilah wainna ilayh raajiun.
 
Back
Top Bottom