babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,289
rip muhandisi
Europian UnionWhat is EU..?
Yaache yote yatokee mwenyezi mungu ataamua kwa haki wakati ukifika maana mungu hachelewi wara hawahi bali hutenda kwa wakati wake nao watalipa tu kwa matendo yao mungu ampe punziko kadiri ya matendo yake
Hii sasa dharau, hivi wameamuwa kabisa kufanya mambo hadharani??
wakati si mileleHahaha umenichanganya kabisa.
Mganga hajigangiHivi kweli ni kwanini Bashite, Musiba na wapumbavu wengine hawajawahi kutekwa?
Hahaha huyo Jiwe wenu anawadanganya sana, yeye anamiliki mahoteli,Kwa Tanzania ya sasa kuwa masikini ni ufahari na kitu cha kujivunia kwa sababu jiwe yupo pamoja nao.
Hahaha kama ya Bashite?!Musiba kawaonya wanaotaka kufanya hivyo kwae akina january na Zitto kuwa watajikuta matako yao yamekuwa makubwa na midomo imepakwa lipstick
Yaani nimecheka hatariHahaha kama ya Bashite?!
Mkuu tufafanulie zaidi...maana sisi wengine tuko tunahitaji ukweli hapa JF.huyu jamaa alikua na matatizo yakifamilia..nimeamini mengi yanatungwa humu