kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,226
- 9,489
Hayo ni mawazo ya kipumbavu. Kama mtu alizaliwa mamia ya miaka baada ya kuwepo Yesu, kwa nini apate special attention kwa mambo aliyokuwa akibumi tu? Sisi wakristo tunaamini ktk Biblia siyo Da vinci
Naona leo Mkuu wamekushika pabaya,maana umekuwa mkali kama PILIPILI KICHAA,changia hoja bac
Yaaaah.....! huwa anapenda sana ku-comment in a negative manner,but I'm surprised today somebody has just raise his temperature......! daaah....! hatari sana Bro.Ndugu Eiyer sorry to be saying this but your actions contradict your Signature. You do lose temper quit easily when your beliefs are put to challenge.
Ngoja tusubiri tuone kama wataweza kujibu,but for sure hawatoweza.In fact you can't know what U have till you loose it,cjui wanasomaga hao jamaa kwenye kitabu chao,mnfyuuuuuuh.......!Je, Yesu amesulubiwa?
Qurani inaeleza katika Sura 4:157 kuwa Yesu hakusulubiwa: Na kwa (ajili ya) kusema kwao: Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa
Maryamu, Mtume wa Mungu, hali hawakumwuua wala hawakumsulubu,...
Je, unaendelea kuamini kuwa Yesu amefia msalabani?
unaweza kuniambia Ndiyo, alikufa na baadaye akafufuka.
KWANZA Ufahamu kuwa hakuna mtu aliyeshuhudia muda aliofufukia.
Wao walilikuta kaburi alilolala Yesu likiwa tupu na wakahitimisha kuwa amefufuka, kwa sababu wanafunzi na mashahidi wengine walimwona akiwa hai baada madai ya kusulubiwa. Je, haiwezekani kuwa, kama inavyodai Qurani, kwamba hajafa msalabani?
Waweza kuuliza , Ushahidi upo wapi?
Majibu . Hebu tutazame vifungu vya Biblia ambavyo vinaunga mkono hitimisho hilo.
Je, unayapa uzito zaidi yale aliyoyasema Yesu au tetesi za wanafunzi, mitume, na mashahidi wengine?
Bila shaka, zaidi ni kwa kile alichosema Yesu mwenyewe.
Hiyo ni kwa mujibu wa vile alivyosema Yesu: Matayo 10:24
Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake.
Unaweza kuniambia tena , Lakini Yesu mwenyewe amesema kuwa atafufuka miongoni mwa wafu: Luka 24:46 Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, Kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;
JIBU ,Kuteseka mara nyingi kunatiwa chumvi zaidi katika Biblia kwa kutumia msamiati wa kufa, kama Paulo aliovyosema katika 1 wakorintho 15:31 Naam, ndugu, kwa huku kujisifu kwangu nilikonako juu yenu katika Kristo Yesu Bwana wetu, ninakufa kila siku. (yaani ninateseka kila siku).
Huu ni ushahidi mwengine:
1. Msalabani, Yesu alimsihi sana Mungu amsaidie: Matayo 27:46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Katika Luka 22:42, inasimuliwa kuwa; Akasema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si
mapenzi yangu, bali yako yatendeke. (Kombe hilo ni kombe la mauti.)
2. Ombi la Yesu asife msalabani lilikubaliwa na mungu, kwa mujibu wa Luka, mwandishi wa Waebrania, na Yakobo. Kwa hiyo, vipi afie msalabani?
Luka 22:43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu. Hili linamaanisha kuwa malaika amemuhakikishia kuwa Mungu hato mwacha bila ya kumpa msaada:
Waebrania 5:7 Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu.
Maombi ya Yesu yalisikilizwa, jambo linalomaanisha kuwa maombi yake yalijibiwa na Mungu kwa wema:
Yakobo 5:16 ...Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
Yesu mwenyewe amesema katika Matayo 7:7-10 Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona, bisheni, nanyi mtafunguliwa; kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa. Au kuna mtu yupi kwenu, ambaye, mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe? Au akiomba samaki, atampa nyoka?
Ikiwa maombi ya Yesu yote yalikubaliwa na Mungu, likiwemo lile ombi lake asife msalabani, sasa itakuwaje mng`ang`anie kuwa amefia msalabani?
New City.[/QUOTE said:Hapa ndipo ninapoanza kuchuja vilaza waliojazana humu JF kama ww.
1.Utafananisha vipi mambo ya dini na serikali......! 2.Ni nani aliyewapa ruhusa ya kuchuja maelekezo ya MUNGU,kwamba haya yanafaa yafuatwe na haya yafichwe,je ni MUNGU mweyewe ndiye aliyeagiza,hebu BACK TO THE TOPIC alaaaaaaah...........!
Ngoja tusubiri tuone kama wataweza kujibu,but for sure hawatoweza.In fact you can't know what U have till you loose it,cjui wanasomaga hao jamaa kwenye kitabu chao,mnfyuuuuuuh.......!
Jamaa bhanaaa....! unajitia uhamnazo,unauliza maswali kwa kujifanya mwana FALSAFA ili kukimbia mada,ww hayo maswali unayoyauliza unaweza yajibu lakini.....?Umeitoa wapi hii?
Dini ipi unaizungumzia hapa?
Umbwe ni nini?
Nani amewaita watu mashetani?
Una uhakika na hili?
Kivipi?
Daaaah.....! hatareeeeeeeee.........!Alipakwa matope,kudhalilishwa na kuuwawa msalabani na hapo ndipo hiyo vita iliposhindwa mkuu maana baada ya siku tatu alifufuka akayashinda mauti,akashinda vita vyote dhidi yake,dhidi ya ubinadamu alishinda yeye ana alitushindia sisi hamna vita inayoweza mshinda tena yeye wala wafuasi wake usiwe na hofu kaa kwa amani mkuu
Mbona MICHAEL HART ktk kitabu chake cha The most influential people in the world hajamuweka kuwa wa kwanza........!Weka kando level yeyote ya umaarufu, kati ya watu wote maarufu waliowahi kutokea, Yesu anaendelea kuwa maarufu kuliko wote.
Kama wameweza kufikiria kwamba alikua na mahusiano na Marymagdalena, isingekua rahisi zaidi kwao kufuatilia na kujua zaidi habari za hao watoto wake?
1. Kwa hiyo ku Quote post ya mtu ni ushabiki....! kama ndio bac hata ww ni shabiki.2.Sasa hapo umemjibu nani...? 3.Halafu ngoja nikusaidie co MANYANGAU NI MANYANG'AU maana povu limekujaaa kweli. 4.Hebu jibu hiyo hoja ilyopo kwenye hiyo post nilyo-quote kwa ushahidi unaopinga hayo maandiko yanayotolewa co unabwatabwata hovyoKwa ushabiki uliotumia ku Quote hiyo post ya mwenzio tayari nishakujua ww ni mtu wa kundi gani.
ni bora kutojibizana na manyangau.
Mkuu naona kuna maswali mawili hapo ya Msingi kwenye comment yako moja ni kwanini watu Wamzushie? Pili ni kwanini vitabu vyote havikuingizwa kwenye biblia.Ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu na kwa bahati nzuri comments zako zinaonyesha ni mtu unayeweza kuargue kwa facts na bila dharau/dhihaka kwa anayetofautiana mawazo na wewe
1. Kwanini wamzushie - Utakubaliana na mimi kuwa watu wasiokupenda au maadui zako wanaweza kufanya lolote kukuharibia kwa namna yoyote ile so sio kila mtu anaipenda imani ya Ukristo na hivyo watafanya kila hila ili kuonyesha Imani hiyo na muanzilishi wake hawana maana kuna maadui wengi sana wa ukristo na wameshafanya mengi sana kuonyesha kuwa ukristo na huyo Yesu mwenyewe havina maana na wapo waliodiriki hata kusema ya Kuwa Yesu hakuwahi kutokea duniani (Sasa sijui hata hiyo idea ya Yesu ilitoka wapi hawaelezi) wapo waliosema Yesu hakufa na kufufuka sasa kama wameweza kuzusha ya Kuwa hakuwahi kuja Duniani na baadae wakakurupuka tena wakajikana wakasema oooh ndio alikuwepo lakini hakufa wala kufufuka watashindwa nini kuzusha ya kuwa alitembea na kuzaa na Maria Magdalena? Mbona uzushi huu ni mdogo kuliko wa kutokuzaliwa/kuja duniani au ule wa kutokufa na kufufuka?
2. Kwanini vitabu vyote havikuweka kwenye biblia? Ndugu yangu vitabu vyote vya agano jipya viliandikwa baada ya Yesu kufufuka na kupaa mbinguni na vilianza kuandika takribani miaka hamsini baada ya Yesu kupaa mbinguni vitabu hivyo vilikuwa vinaelezea maisha ya Yesu,Maisha ya Mitume na Wakristo wa Kwanza na hivyo kupelekea watu wengi sana walio ona matukio hayo kuandika vitabu mbalimbali kwa mfano kuna vitabu vingi sana vilielezea maisha ya Yesu lakini ni vinne tu (Injili) ndivyo unavyovikuta kwenye biblia sababu ni kuwa Maisha ya Yesu yalikuwa na mambo mengi sana ya kuandikia na hata kwenye biblia imeandikwa (siukumbuki ule mstari ila nadhani ni Luka au Mathayo ) Kila kitu kuhusu Yesu kingewekwa kwenye maandishi basi ulimwengu mzima usingetosa kujaza hivyo vitabu offcourse akimaanisha ni vingi sana kumbuka kila siku ya Yesu hapa duniani ilitosha kuandikia kitabu kuna mambo mengi sana yaliandikwa mathali kuna injili ambayo ilielezea utoto wa Yesu jinsi alivyokuwa akicheza na wenzake alikuwa na uwezo wa kutengeneza ndege wa udongo akawapulizia pumzi na wakapeperuka,jinsi alivyokuwa anawasaidia watoto wenzake wasipigwe majumbani wakichelewa kurudi na offcourse jinsi alivyokuwa anawawajibisha watoto wenzie waliokuwa wanajifanya wababe na kumpiga sasa kanisa lililazimika kuchambua baadhi ya vitabu tu na kuviingiza kwenye biblia ili kuepuka kuwa na biblia ndefu sana inayoweza kufanya watu wakashindwa kuisoma kwa ukubwa wake na wakaamua kuweka vitabu vichache tu vyenye umuhimu na kutujenga kiroho.
Nadhani nimejaribu kidogo kukujibu mheshimiwa
1. Kwa hiyo ku Quote post ya mtu ni ushabiki....! kama ndio bac hata ww ni shabiki.2.Sasa hapo umemjibu nani...? 3.Halafu ngoja nikusaidie co MANYANGAU NI MANYANG'AU maana povu limekujaaa kweli. 4.Hebu jibu hiyo hoja ilyopo kwenye hiyo post nilyo-quote kwa ushahidi unaopinga hayo maandiko yanayotolewa co unabwatabwata hovyo
nakubaliana na wewe asilimia mia kuwa biblia imeeditiwa na kuna vitabu vingi vilivyoachwa.
sikubaliani na wewe kuwa kanisa katoliki lilifanya hivyo kwa mapenzi ya imani ya kikristo . wewe unathibitisha vipi kuwa vitabu vilivyoondolewa vilijaa ushabiki ushabiki gani ushabiki kuhusu nini na ni nani mwenye kusema huu ni ushabiki na huu ni ukweli unaotakiwa watu kujua?
kanisa katoliki lina makasoro mengi si timilifu. na haswa ndiyo sababu nilitaka kujua kama EIYER ni dhehebu gani, kwa sababu alivyoanza kutoa hoja zake alikuwa anataka kufanana na wakatoliki ambao huwa kamwe hawapendi kukosolewa na kuona kila kilichopo katika mafundisho yao ni sahihi pasipo kutafakari zaidi au kujiruhusu kuhoji.
mambo ya imani ni magumu sana. lakini viongozi wa makanisa yetu wana siri nyingi sana ambazo laiti kama wakristo wanaoamini wangepata kuyajua pengine kungekuwa na shida katika kuendelea kufwata makanisa hayo.
mkuu,
mjue mungu na umuamini.
dini na imani ni vitu tofauti japo vinategemeana
Ngoja nikuulize,hivi ni kitu gani kinakufanya uamini hivi vitabu vipo?
Umeshaviona?
Kama umesha viona,ni kitu gani kunakufanya uamini viliandikwa na hao wahusika na sio kwamba vilitungwa tu na watu kwa maslahi yao binafsi?[kuleta coffusion]
Kanisa la kwanza siyo Roma, kanisa la kwanza ni lile la mitume ambalo lilianzia Yelusalemu.
Sio kweli hata kidogo
Sina uwezo wa kukulazimisha na sitakua nao,kinachokufanya uone hivyo ni woga tu
Nimesema unapotezwa na mazoea na nimekupa ushahidi vile ambavyo wewe unaupofu kuhusiana na jina
Tatizo langu likowa pi hapo?
Unajua maana ya ukweli wewe?
Ukweli kwa maana fupi ni makubaliano kati ya hali halisi na kinachozungumzwa
Sasa wewe huko kusema Mungu hana jina kunakubalianaje na hali halisi?
Ni kwanini asiwe na jina?
Hana jina au wewe unadhani hana jina kutokana na mazoea yako?
Jina ni nini?
Mbona MICHAEL HART ktk kitabu chake cha The most influential people in the world hajamuweka kuwa wa kwanza........!
Jamaa bhanaaa....! unajitia uhamnazo,unauliza maswali kwa kujifanya mwana FALSAFA ili kukimbia mada,ww hayo maswali unayoyauliza unaweza yajibu lakini.....?