Leo wahusika wa basi la KISBO wamezingua

Leo wahusika wa basi la KISBO wamezingua

Sijakuelewa yaani basi kubwa (hatuombei) la.masafa lipate ajali lisijulikane?Na wasap hizi au?Labda,never say never.Jioni njema sasa naenda kupata kinywaji.Karibu tujumuike!
 
Sijakuelewa yaani basi kubwa (hatuombei) la.masafa lipate ajali lisijulikane?Na wasap hizi au?Labda,never say never.Jioni njema sasa naenda kupata kinywaji.Karibu tujumuike!
Pole brother
Nipo somewhere nna mtu wangu kapata ajali majuzi tu na gari maarufu tu limechinja sita
Habari sijakutana nayo popote mpaka sasa.
Siandiki nisichokijua.
 
Pole brother
Nipo somewhere nna mtu wangu kapata ajali majuzi tu na gari maarufu tu limechinja sita
Habari sijakutana nayo popote mpaka sasa.
Siandiki nisichokijua.
Aise.
 
Sio wao jamani,niserikali yasasa,wao badala yakuboresha ulinzi wanazui mabasi SAA NNE,wakati wenzetu wanapiga hatua kwenda mbele sisi tunarudi nyuma napolisi tunao wakutosha,waongeze doria nawatu tufanye kazi saa24
 
Pole brother
Nipo somewhere nna mtu wangu kapata ajali majuzi tu na gari maarufu tu limechinja sita
Habari sijakutana nayo popote mpaka sasa.
Siandiki nisichokijua.
Basi paza sauti boss.
Iandike hiyo habari sasa
 
Hatimaye safari yakomea Dumila.
 
Back
Top Bottom