Huwa nawaongezea mtaji kila naposafiri ama kutoka Dar kwenda Mwanza au kinyume chake.Wape mtaji. waongeze mengine bro.
Exactly. Zote zililala Shinyanga, zimeanza safari saa 3 asubuhi kutoka Mwanza kwenda DarKisbo za Dar Mza ni 2
Maana yangu ni kwamba hilo basi madereva wake wengi ni wanywa viroba!
Mwaka 2015 ile ya mgomo iliondoka dar sa7 lakn basi zilizotoboa mwanza zilikua mbili tatu tu Kisbo ,happy nation BXB 710 na city boys.Nadhani una degree ya ubishi, tena ni ule by nature. Kisbo Express mbili zililala Shy, zimefika Mwanza saa 2:10 na nyingine saa 2:23 asubuhi, zikapakia na kuondoka saa 3 asubuhi bila hata service. Muda huu ndiyo tunatoka shy town. Japo lile jingine(Kisbo) litakuwa linaitafuta Igunga.
Hamna kitu mule ukipanda nenda na shuka na mswaki kulala njian nje njeDar Lux nilikua namdharau kumbe nae Yuko fit sana
Kipindi hicho sumatra hawakuwa namna walivyo leo.Mwaka 2015 ile ya mgomo iliondoka dar sa7 lakn basi zilizotoboa mwanza zilikua mbili tatu tu Kisbo ,happy nation BXB 710 na city boys.
Nakwambia utalala dar usijal.
kwan umefika wap sasaiv?Kipindi hicho sumatra hawakuwa namna walivyo leo.
Muda huu tupo Singida.kwan umefika wap sasaiv?
Mwendo wa kawaida sanaMwendo wa hatari huo mzee kw barabara zetu za kupishana kwa mita 1-2.Si suala la kujivunia hata kidogo.Shukuru mungu
Umesahau ajali zake zilivyokuwa zinaleta madhara makubwa hadi vifo.Huone siku hizi walau ajali za mabasi zimepungua kwa kiasi fulaniMwendo wa kawaida sana
Mbona kabla ya hiyo sheria gari zilikua zinafika bila tabu ?
Slow downUmesahau ajali zake zilivyokuwa zinaleta madhara makubwa hadi vifo.Huone siku hizi walau ajali za mabasi zimepungua kwa kiasi fulani
Slow down
Umefanya uchunguzi ?
Siku hizi picha zinafutwa mpaka kwenye social media
Ajali zipo zinachinja sana tu ila ndo hazianikwi tena.
Serikali imeshajisifu imetatua tatizo na inafanya juu chini iaminike hivyo.
Sawa lakini wamejitahidi aise.Mtu akifanya vizuri si vibaya ukampongeza.Barabara zetu si nzuri sana.Slow down
Umefanya uchunguzi ?
Siku hizi picha zinafutwa mpaka kwenye social media
Ajali zipo zinachinja sana tu ila ndo hazianikwi tena.
Serikali imeshajisifu imetatua tatizo na inafanya juu chini iaminike hivyo.
Jaribu tu kuzungumza na watu walioko kwenye field ukutane na realitySawa lakini wamejitahidi aise.Mtu akifanya vizuri si vibaya ukampongeza.Barabara zetu si nzuri sana.