Leo wahusika wa basi la KISBO wamezingua

Leo wahusika wa basi la KISBO wamezingua

Sometimes usafir wa mabas kero sana bora kupanda ndege
 
Hata tairi za mbele hujakagua kama ulivyoshauriwa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Safari njema....kuiona Dar kesho asbh[emoji3] [emoji3]
Nimeishia kuziangalia pekee.
 
Safari njema bosi. Ila sio vizuri kupanda mabasi ya kampuni zenye basi moja tu. Muda wa service hakuna. Sio salama.
 
Pole waliotoboa jana kutoka dar kwenda Mwanza ni

1. Wibonela
2. Dar lux
3. Kisesa
4. Falcon
5. Falcon
 
Ila kwa namna yoyote tupambane na umaskini, muda unaotumika kwenye basi ni mwingi mno.
 
Hizi safari ndefu,kupanda basi ni umaskini tu,kwakweli muda unaotumika ni mwingi sana na vilevile yale matuta huwa yananikera sana,najuta kutokua na uwezo wakupanda ndege.
 
28670f5b62be3b66496c9f6742574257.jpg
 
Back
Top Bottom