ngikangalu
Senior Member
- Aug 16, 2017
- 153
- 110
HII vipi tena
miaka mingapi iliopita?Maana yangu ni kwamba hilo basi madereva wake wengi ni wanywa viroba!
Mkuu hujaondoka tu? Ukifika hapa SHY nistue nije nikijulie hali tu Mkuu! leo mtalala Dodoma!Nimeishia kuziangalia pekee.
Mwendo wa hatari huo mzee kw barabara zetu za kupishana kwa mita 1-2.Si suala la kujivunia hata kidogo.Shukuru munguNilipanda Kidia One DSM tukaingia saa sita kasoro
In single Day
Namshukuru Mungu sana tu ila sio mwendo wa hatari hata kidogoMwendo wa hatari huo mzee kw barabara zetu za kupishana kwa mita 1-2.Si suala la kujivunia hata kidogo.Shukuru mungu
Mwendo wa Kawaida sana kama barabara ya Dar-Mwanza ingekuwa double road.Siyo hii ya head-on-head collision.Namshukuru Mungu sana tu ila sio mwendo wa hatari hata kidogo
Binafsi naona ni mwendo wa kawaida tu
Mkuu Mimi sipendi Mwendo wa kasi kabisa ila ujue tunatembea taratibu sana basi kwa speed ya km 50 kwa saa ni mwendo wa taratibu sanaMwendo wa Kawaida sana kama barabara ya Dar-Mwanza ingekuwa double road.Siyo hii ya head-on-head collision.
Hata mm hiyo 50KPH sikubaliani ni ya chini sana na hasa kwa long trips kama hizo za Kanda ya ziwa na kusiniMkuu Mimi sipendi Mwendo wa kasi kabisa ila ujue tunatembea taratibu sana basi kwa speed ya km 50 kwa saa ni mwendo wa taratibu sana
Itabidi nijichange.Mkuu kwa dar mwz mm kisbo nishaitoa katika gari zangu japokuwa wanasifa za kutolala njiani ..ila gari unatembea unasikia kelele za vyuma km uko kiwandani [emoji13][emoji13][emoji13] next time fanya booking ya mwewe
Nimejaribu kuobserve mara kadhaa Kisbo ikitajwa lazima uje na hii picha..halafu utaleta zile za kupromote Dar Lux, na nyinginezo.
Nadhani una degree ya ubishi, tena ni ule by nature. Kisbo Express mbili zililala Shy, zimefika Mwanza saa 2:10 na nyingine saa 2:23 asubuhi, zikapakia na kuondoka saa 3 asubuhi bila hata service. Muda huu ndiyo tunatoka shy town. Japo lile jingine(Kisbo) litakuwa linaitafuta Igunga.Oooh Kumbe Ni Kibo Safari.
Ameondoka na Kibo sio Kisbo!
Kisbo Kililala Shinyanga Stand Jana na Kuondoka Shinyanga SAA 12 asubuhi kuelekea Mwwnza!
Na Umbali was Shy-Mwanza in masaa 2:30 mpaka 3:00hrs!
So Halafu Ligeuze bila Service duu Aisee!
Ila Hili Kibo Sasa Hivi limefika Nyandekwa Linaitafuta Igunga!
Dar haitawezekana. Muda huu ikiwa saa sita ndiyi tunaitoka Shinyanga mjini.Kisbo and Kibo ni ultimate time keepers.
Ni gari ambazo zinajali na kutunza muda sana japo mara moja moja inatokea kama hvo lakn uhakika wa kutolala njian ni 100%.
Hata leo nakuhakikishia utalala dar usijal
Sawa mkuu observer!Nimejaribu kuobserve mara kadhaa Kisbo ikitajwa lazima uje na hii picha..halafu utaleta zile za kupromote Dar Lux, na nyinginezo.
Ili ubalance mizani uwe unaleta na zile za Lux akiwa kapata ajali. Maana point unayotaka kudrive home ni kuwa hayo mabasi yana sifa ya ajali..whereas hata yale unayoyasifia nayo yalishapata ajali nyakati fulani.