Leo vitu vimepanda bei balaa. Wanatumia kigezo cha maandamano kuumizana

Leo vitu vimepanda bei balaa. Wanatumia kigezo cha maandamano kuumizana

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,632
Leo sehemu nyingi vitu vimepanda bei balaa.

Kilo moja ya nyama elfu 17
Nyanya moja 500
Chips yai elfu 5
Soda elfu 1

Nk nk

Kwa mwendo huu ni ngumu watu kufikia lengo

Hapo hakukuwa na maandamano hali ipo hivyo je maandamano yakiwepo angalau wiki 1 si itakuwa balaa zaidi

Tamaa za wafanyabiashara zinakandamiza watu waliokuwa na nia ya kuandamana kesho hivyo ile morali ya maandamano inadhoofika.
 
Kweli kabisa mkuu, hakuna mshikamano kabisa kwa hili.
Wenzetu wana fanya frusa ila wengine wanachulia hatua ya mabadiliko.

Hio kesho bila shaka mwitikio utakuwa mdogo sana kama hautakuwepo kabisa.
 
Leo sehemu nyingi vitu vimepanda bei balaa.

Kilo moja ya nyama elfu 17
Nyanya moja 500
Chips yai elfu 5
Soda elfu 1

Nk nk

Kwa mwendo huu ni ngumu watu kufikia lengo

Hapo hakukuwa na maandamano hali ipo hivyo je maandamano yakiwepo angalau wiki 1 si itakuwa balaa zaidi

Tamaa za wafanyabiashara zinakandamiza watu waliokuwa na nia ya kuandamana kesho hivyo ile morali ya maandamano inadhoofika.
au hawa ndo wanahamamisha maandamano nn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom