denis fourplux
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 1,049
- 1,378
Uo mtaa wa makongoro unanini...hasaa naona unasifiwa sifiwa
Wahuni wengi,kuna bar pale kiufupi ni moja kati ya mtaa ambao unavimbwanga vingi kama wizi, ukabaji, dada poa, makundi kama Jamaika Mokaz, Football players,Rich family kiufupi mzee mitaa zote za Msm Masstown wanavyopaita nimechafua sana wazaliwa wengi nawajua