Leo tupo Musoma

Kuna sehem inaitwa level 8 iko aposhinyanga mjini.....inafanana Sana na level 8 ya goldcrest mwanza...ni pazur kweli lakini kwa upande wa vinywaji....
Unakunywa huku unaangalia mji kwa juu...pana view nzuri
Ila sjawahigi kula hapo ....ila unaeza enda unaweza kuta msosi uko vizuri
Sawa Kiongozi
Nitatembelea Hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom