Leo niwape somo nyinyi Wanawake msioolewa

Leo niwape somo nyinyi Wanawake msioolewa

Sikuhizi mmekuwa na viburi utafikiri mmezaliwa pluto!
Mweka mada kaandika huo ni kama ushauri kwa wale wanaotaka kuolewa asietaka si atajua mwenyewe huko!.

Mnataka kila siku mpewe maneno laini kwani ukweli hamuujui..?
Basi msilalamike hamuolewi kwa maana nafasi yenu mmeisahau!
Kama hamtaki kuolewa njooni kwangu niwape mimba maana ufalme wa mimba ni wangu😎
Mambo mengine tunayamaliza kiupendeleo tu wala hakuna kukwaruzana😉
Kwenye Utawala Wangu Maneno Matamu Sitayasema Mimi Nitasema Makavu Makavu
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
😀😁😂😄😏😃
 
hahaha kwann kizuri kula na mwenzio me nimekuruhusu Kuna tatizo kwani🤷
Kweli kabisa ila kwa hili la kukubaliwa haraka mtu hasemi hata "wewe mi naogopa"😅
Mi ni last born ngoja narudi niende nikamwambie mama kwanza.. hivi hapa sitachinjwa kweli..😂
 
Oooohh!! Basi kwa kichambo hiki yategemee haya
-Maisha ni yangu we inakuhusu nini.
-Kuolewa si lazima
-Wanaume wa kuoa wako wapi wengi wanapenda kulelewa.
-Walio ndoani wanataka kutoka sisi tufuate nini? 😅😅

hapo umechemka sister angu Shadeeya
nikisikiaga maneno kama hayo naonaga ni mwanamke aliyejikataa mwenyewe.waoaji bado wapo
 
Kweli kabisa ila kwa hili la kukubaliwa haraka mtu hasemi hata "wewe mi naogopa"😅
Mi ni last born ngoja narudi niende nikamwambie mama kwanza.. hivi hapa sitachinjwa kweli..😂
😅😅😅😂😂 kumbe last born na wewe na ujanja wote maneno meng kumbe last born haya kamuulize mama halafu uje Tena "sijakukubalia bado nakagua CV yako "
 
😅😅😅😂😂 kumbe last born na wewe na ujanja wote maneno meng kumbe last born haya kamuulize mama halafu uje Tena "sijakukubalia bado nakagua CV yako "
Mama kasema picha tafadhari..
 
Back
Top Bottom