rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,654
- 9,114
Mwanamke akishafikisha 30 soko linaanza kushuka kwa kasi na ndio hawa utawaskia 'kwani kuolewa lazima!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wengi wao huishia kuwa ma-single mother!Oooohh!! Basi kwa kichambo hiki yategemee haya
-Maisha ni yangu we inakuhusu nini.
-Kuolewa si lazima
-Wanaume wa kuoa wako wapi wengi wanapenda kulelewa.
-Walio ndoani wanataka kutoka sisi tufuate nini? 😅😅
Endiwoo. Njoo ujipumzikiePumziko la moyo kwa Diaspora USA
😅😅😅🙆
Kapeace mbona mkali sanaMuoaji utakuwa wewe bhana???
Aisee 😳 haya nitakujaEndiwoo. Njoo ujipumzikie
KaribuuuuAisee [emoji15] haya nitakuja
🙏 ThanksKaribuuuu
Mimi mwenyewe nimeishia hapo.We unataka mwanaume akuoe wakati hujawahi kujiongeza hata kusema umfulie, kazi kumsifia kapendeza hujui hata anafuliwa na nani?
Samahani nimeishia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni majukumu ya mke na sio girlfriend.Kuna watu wamefua weeeeeee na kupika lakini hawajaolewa[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo dada unataka kuingia chumba Cha mtihani wakati hujasoma[emoji43]
Nimefundishwa kwetu.Kwa iyo dada unataka kuingia chumba Cha mtihani wakati hujasoma[emoji43]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,wanaume hatuendi hivyo. Ni kama biashara siji kwenye frem yako bla kunshawishi kununua bidhaa yko. Lazima nione kwanza ubora wa bidhaa ndo niinunue na kuipeleka nyumban. Umefundishwa kwenu ndio but huko hawafundish kumhandle mwanaume na kwenda nae sawa.Nimefundishwa kwetu.
Hakuna kazi nisiyoijua... I'll never be a wife to a boyfriend.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mafunzo kuna watu maalum wa kufundisha.Hapana,wanaume hatuendi hivyo. Ni kama biashara siji kwenye frem yako bla kunshawishi kununua bidhaa yko. Lazima nione kwanza ubora wa bidhaa ndo niinunue na kuipeleka nyumban. Umefundishwa kwenu ndio but huko hawafundish kumhandle mwanaume na kwenda nae sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema umenimiss tuKapeace mbona mkali sana
Write your reply...Zile huduma mnazodai kuhudumiwa kabla ya ndoa za kumbebesha mwanaume majukumu na sisi tuseme.. I 'll never be a husband to a girlfriend, je kaka zako wamefundishwa hiloNimefundishwa kwetu.
Hakuna kazi nisiyoijua... I'll never be a wife to a boyfriend.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment ni ya mwanamke ambaye umri wa kuolewa ushampita.Oooohh!! Basi kwa kichambo hiki yategemee haya
-Maisha ni yangu we inakuhusu nini.
-Kuolewa si lazima
-Wanaume wa kuoa wako wapi wengi wanapenda kulelewa.
-Walio ndoani wanataka kutoka sisi tufuate nini? 😅😅
Hizo huduma Kama mnatoa Basi toeni kwa kujitakia na kwa upendo wenu,kabla ya ndoa wajibu wa kutuhudumia ni wazazi.Write your reply...
Write your reply...Zile huduma mnazodai kuhudumiwa kabla ya ndoa za kumbebesha mwanaume majukumu na sisi tuseme.. I 'll never be a husband to a girlfriend, je kaka zako wamefundishwa hilo
Hizo huduma Kama mnatoa Basi toeni kwa kujitakia na kwa upendo wenu,kabla ya ndoa wajibu wa kutuhudumia ni wazazi.