Leo niwape somo nyinyi Wanawake msioolewa

Leo niwape somo nyinyi Wanawake msioolewa

Good, umeshauri vizuri kumbe si lazima kumhudumia gf ingefaa hata kumfulia au kumpikia bf wako basi ifanyike kwa kujitakia na kwa upendo, na tuhitimishe hivyo.
Ndiyo
Watu kama wanafanya basi wafanye kwa kujitakia lakini hiyo si tiketi ya ndoa.
 
ngoja niwaone wadada wanvyopita mbio maana saiv ni mwendo wa kupeana mimba basi kuoa no no no no wanawake hawajielewi wanataka nn kwenye maisha yao acha nitafute pesa tu
 
Hivi Yanga
Nikwambie tu mwanamke habadilishwi kwa kichambo namna hii cha zaidi utamuongezea shida ingine ya kujitetea kwa kurudisha maneno makali kwako.

Tumia kauli laini naamaini utaeleweka tu.
 
Kuna madada wanne ofisini kwenu
walikuwa na kiburi na kujiona
masupastaa sana.
Na tuliwaambia haya,wakatuona
Masheitwani.
Leo hii mwaka wa 6,na wako above
30yrs age,wanamlilia Mungu
waolewe..na hakuna hata dalili.
Mungu si mshenzi kuumba mwanaume&mwanamke.
 
Back
Top Bottom