Leo niwape somo nyinyi Wanawake msioolewa

Leo niwape somo nyinyi Wanawake msioolewa

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,481
Reaction score
1,356
Habari za asubuhi wana JF, poleni na majanga yanayotusibu na naamini Mwenyenzi Mungu atatunusuru Ishallah .

Nije mojakwa moja kwenye mada inayowahusu wadada wapenda kuolewa. Wewe mwanamke kutwa unalalamika wanaume waongo kwenye mapenzi wakikutumia tu wanasepa, huna hata akili ya kufikiria kwanini kwako wagonge wasepe hawaingii ndani? Na daily unahudhuria harusi za wasichana wenzio wakiolewa? Au wao wanaolewa na majini eti? [emoji23][emoji23][emoji23]

Hii dhana kujiona watoto wa mjini, wanawake wa kisasa sijui, basi ndo mnakuwa kama kuku ya kisasa kweli hamfai kwa kufugwa shida tupu! Maana makuku ya kisasa ukitaka kuyafuga basi ujipange kweli kweli kuanzia mtaji wa kipesa hadi muda wa kuyahudumia. Ndio nyie sasa, yaani kiukweli wanawake wa sikuhizi hata radha mmeisha kabisa [emoji23]

We unataka mwanaume akuoe wakati hujawahi kujiongeza hata kusema umfulie, kazi kumsifia kapendeza hujui hata anafuliwa na nani? Hujawahi hata kumpikia kazi kumsifia ananenepa hujui hata anakula wapi, halafu unataka ndoa? kila siku ukienda gheto kwake we kazi kuulizia series za kikorea kama kaleta mpya, huulizi hata Leo unanunua mboga gani nije kukupikia.

Mwanamke mzima bila haya unaenda kwa mwanaume wako unafika na kuanza kulia njaa halafu unamuagiza kabisa akakununulie chips kuku,kwa mazingira haya anawezaje kuanza kufikilia kuuliza posa kwenu? Kazi mnayoijua ni kuomba omba hela tu utazani watoza ushuru wa manispaa.

Mkifulia Ndo mnajifanya kusema "Bby nimekumiss nataka nije leo" pumbavu zenu kumbe pesa ndo inayokupeleka, mkishafumuliwa fasta mnaomba nauli na hela ya kula hata kukumbuka kutoa shuka utandike nyingine huna mda huo, tunawajua sana ila tunawatazama tu mnajiona wajaanja kumbe mnajishusha wenyewe, haya mambo mnayaona ya kipuuzi lakini ndo uchawi kwa mwanaume ajue thamani yako, asifikirie kukupoteza hata siku moja.

Sasa nyie endeleeni tu kufuata hela, mnaenda kwa wanaume mmejikoki sadolin za rangi mdomoni, machoni mpaka mtu anashindwa kukukiss! Umefuga makucha utazani visu vya kukeketea?? [emoji3][emoji3] sijui hata mnasafishaje maumbile yenu, unakuta unang'aa usoni utazani duka la wahindi lakini ndani unatoa uvundo [emoji23][emoji23][emoji23] aisee mtalalamika Sana nawaambia, wanaume Ndo sisi mnaotuletea nyodo Ndo tunapaswa kuwaoa, tutawanyoosha mpaka mjute kuzaliwa!

Pendeni hela tuwazeeshe. Na mtapata tabu sana.
 
Inaelekea haukupata mapenzi utotoni kutoka kwa Wazazi wako, ndio maana unayatafuta ukubwani, Mwanamke akufanyie yote hayo kwani yeye ni Mamako? Na atakuwa na watoto wangapi wa kulea kama na wewe ni mtoto, eti unalilia kuambiwa umependeza WTF? Grow up man!
 
Summary.

Huyu dada amesema wanawake mnataka ndoa huku hamjakaa kiwaifu matirio. Mnafuga kucha hata usafi wa K mnashindwa kufanya, pia amesema make up zinafanya mng'ae usoni kama duka la mhindi. Na lolote hamuwezi kumfanya ye ndo kashasema.
 
Nikwambie tu mwanamke habadilishwi kwa kichambo namna hii cha zaidi utamuongezea shida ingine ya kujitetea kwa kurudisha maneno makali kwako ili tu kuwa sawa.

Tumia kauli laini naamaini utaeleweka tu.
He he! Tukitumia kauli laini utasikia huyu hana hela huyu😂
Halafu mnakazia kwanza itakuwa anakibamia huyu!!

The God is coming to take the people 😂
Hiyo inaitwa the kiingeleza!😎
 
Na kila mwenye macho asome na aliye na masikio nimtumie vocice note asikilize maana mm Mwenyewe ni muhanga ila kuongea ndio huwa siwezi.

Alafu ni kama wanakula kozi darasa moja na mwalimu wao ni huyo huyo mmoja,wakitoka darasani wanajuwa kabisa Sasa hivi boya atakaye jichanganya atakula kipengele hiki na wote wanakuja na kipengele hiko hiko wakimaliza wana ambizana hiki wamesha kijuwa wanapanga kingine kipya kisha wanaanza upya na wote wanafata kanuni hizohizo.
 
He he! Tukitumia kauli laini utasikia huyu hana hela huyu😂
Halafu mnakazia kwanza itakuwa anakibamia huyu!!

The God is coming to take the people 😂
Hiyo inaitwa the kiingeleza!😎
Oooohh!! Basi kwa kichambo hiki yategemee haya
-Maisha ni yangu we inakuhusu nini.
-Kuolewa si lazima
-Wanaume wa kuoa wako wapi wengi wanapenda kulelewa.
-Walio ndoani wanataka kutoka sisi tufuate nini? 😅😅
 
Inaelekea haukupata mapenzi utotoni kutoka kwa Wazazi wako, ndio maana unayatafuta ukubwani, Mwanamke akufanyie yote hayo kwani wewe ni Mamake? Na atakuwa na watoto wangapi wa kulea kama na wewe ni mtoto, eti unalilia kuambiwa umependeza WTF? Grow up man!
Hapo inakuwa hamna tofauti ya kuuguza mgonjwa na kudate lastborn hawa ndo wale wakipiga mbili wanalia namtaka mamaa😅👏
 
Oooohh!! Basi kwa kichambo hiki majibu yatakuwa haya hapa
-Maisha ni yangu we inakuhusu nini.
-Kuolewa si lazima
-Wanaume wa kuoa wako wapi wengi wanapenda kulelewa.
-Walio ndoani wanataka kutoka sisi tufuate nini? 😅😅
Sikuhizi mmekuwa na viburi utafikiri mmezaliwa pluto!
Mweka mada kaandika huo ni kama ushauri kwa wale wanaotaka kuolewa asietaka si atajua mwenyewe huko!.

Mnataka kila siku mpewe maneno laini kwani ukweli hamuujui..?
Basi msilalamike hamuolewi kwa maana nafasi yenu mmeisahau!
Kama hamtaki kuolewa njooni kwangu niwape mimba maana ufalme wa mimba ni wangu😎
Mambo mengine tunayamaliza kiupendeleo tu wala hakuna kukwaruzana😉
 
Sikuhizi mmekuwa na viburi utafikiri mmezaliwa pluto!
Mweka mada kaandika huo ni kama ushauri kwa wale wanaotaka kuolewa asietaka si atajua mwenyewe huko!.

Mnataka kila siku mpewe maneno laini kwani ukweli hamuujui..?
Basi msilalamike hamuolewi kwa maana nafasi yenu mmeisahau!
Kama hamtaki kuolewa njooni kwangu niwape mimba maana ufalme wa mimba ni wangu😎
Mambo mengine tunayamaliza kiupendeleo tu wala hakuna kukwaruzana😉
Hahahaa. Naona umeamua kunichamba na mie sasa. Lol
 
Nikwambie tu mwanamke habadilishwi kwa kichambo namna hii cha zaidi utamuongezea shida ingine ya kujitetea kwa kurudisha maneno makali kwako.

Tumia kauli laini naamaini utaeleweka tu.
Hii fani ya mapenzi ina watu wa wazima na vijana na watoto


Huyu mleta maada ni mvulana na wanao fika kwake wasichana







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom