Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mdomo bado mchungu sana
au ni hofu ya kuvuliwa gamba...
Mdomo bado mchungu sana
Hivi kuna binadamu mwenye akili timamu anayecheka mwenzake akiugua?
Sioni sababu ya kuchekelea ujinga
Hivi kuna binadamu mwenye akili timamu anayecheka mwenzake akiugua?
Unaona madhala ya vyandaru vya bule?JK alileta vyandarua vyenye matundu makubwa kama ya nyavu za kuvulia samaki,nakushauli ukawape wavuvi alafu ukanunue chenye kiwango,pole sana.
Ni kweli mpo lakini mna akili timamu? Hilo ndiyo swali.
Ugua pole mkuu, Mungu akusaidie upone na kurejea kwenye afya yako ili uendelee na majukumu yakoNadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.
Mwigulu Mchemba at work...Nashukuru ulıumwa,nılıchokuwa nakuombea usıfe tu!
Mkeo alınıforwardıa password yako nıkawa napost threads za mlengo wa Kı-chadema anadaı amechoshwa na wewe kutumıkıa magamba.
Tulıpeana apoıntment kukutana nae leo palepale pa sıku zote!
We endelea kukesha ukıtumıkıa magamba tu mm ntakusaıdıa kumpunguzıa stress ur wıfe!