Mbona jina lako halifanani na kauli zako ndugu? Nalog offMnaochangia topic za Mwita na nyie mnakuwa kama vile hamna akili
Mkuu una ID nyingi nini? Umejuaje kama Faiza Foxy walimpeleka India hali ya kuwa wewe umejiunga juzi? Nalog off
Na wewe kila wakati unasema "Nalog off" wakati unaendelea kuchangia; haya mambo ya kuiga yatawaponza. Ukiiga kunya kwa tembo utapasuka cameroon yako.Mbona jina lako halifanani na kauli zako ndugu? Nalog off
Hahahaha maana kila nikiangalia kwenye sight mirror namuona,kweli alilog off. Nalog offAlilog off tu.
Nimemuiga nani? Ila kwasababu una jina la kizulu sikushangai kumfurahia Cameron,maana RSA nyie mlishakubali kuuoana toka 2007,kwahiyo mpaka sasa Cameron yako ishachoka,ndio maana unazungumza lolote. Nalog offNa wewe kila wakati unasema "Nalog off" wakati unaendelea kuchangia; haya mambo ya kuiga yatawaponza. Ukiiga kunya kwa tembo utapasuka cameroon yako.
Na wewe kila wakati unasema "Nalog off" wakati unaendelea kuchangia; haya mambo ya kuiga yatawaponza. Ukiiga kunya kwa tembo utapasuka cameroon yako.
Kwenda zako huko nikukere mie mumeo? Nikiandika nalog off we unapoteza nini? Nalog offafadhali umeliambia milinanikera kila kitu nalog off wakati bado linaendelea kuchangia.
Hahahaha maana kila nikiangalia kwenye sight mirror namuona,kweli alilog off. Nalog off
Unaiga kwa watu ambao actually wanalog off, sasa tofauti ni kwamba wewe unaendelea kuwamo humu. Ni sawa na stori ya jamaa aliyekuwa anaangalizia majibu ya mtihani kwenye karatasi ya mwenzake, sasa mwenzake kafika mwisho wa karatasi akaandika PTO (Please Turn Over), na jamaa muigiliziaji yeye majibu yake yapo katikati ya ya answer sheet, ila kwa kuwa hajui anachoiga, naye akaandika PTO !!Nimemuiga nani? ... Nalog off
Hakuna usumbufu hapo,mie sijawahi kumiliki gari ila huwa namuona kwenye baiskeli. Nalog offWashawasha ni 'side morror' sio 'sight mirror'. Samahani kwa usumbufu utakaojiokeza.
Sasa unajuaje kama huyo jamaa aliyekuwa akigezea ndio mimi? In short mie sijamuiga mtu mkuu ni Trade Mark yangu kwahiyo sidhani kama itaendelea kukuumiza. Stahamili japo unaumia. Nalog offUnaiga kwa watu ambao actually wanalog off, sasa tofauti ni kwamba wewe unaendelea kuwamo humu. Ni sawa na stori ya jamaa aliyekuwa anaangalizia majibu ya mtihani kwenye karatasi ya mwenzake, sasa mwenzake kafika mwisho wa karatasi akaandika PTO (Please Turn Over), na jamaa muigiliziaji yeye majibu yake yapo katikati ya ya answer sheet, ila kwa kuwa hajui anachoiga, naye akaandika PTO !!
Sasa chandarua ya mgao hukupata? Uwe unalala kwenye harrier yako nyeusi,ngurumisha usiku kucha kama ina kipupwe. Pole sana mkuu
Sasa unajuaje kama huyo jamaa aliyekuwa akigezea ndio mimi? In short mie sijamuiga mtu mkuu ni Trade Mark yangu kwahiyo sidhani kama itaendelea kukuumiza. Stahamili japo unaumia. Nalog off
Hahaha pole kwa kuugua,ila we si uko kitandani! sie tuko huku barazani tunaendelea kupiga stori,akitoka huyo aliyekuwepo ndani ataingia mtu mwengine kuja kukutambua hali. Nalog offNaona thread imeshaingiliwa na vikwekwerekwe.
Umeona eh! Yaani inauza ile kinoma,haipiti siku bila kununuliwa. Nalog offHii trade mark yako ya 'nalog off' inaelekea inawanyima watu usingizi sana. Umeifunika ile ya figganigga ya 'mia'
faiza mambo vp,pole kwa ban ndugu