Leo nimetoka hospitali.

Leo nimetoka hospitali.

Pole sana mwita25 kwa kupata malaria. kumbe hatujafikia yale malengo ya milenia kama anavyosema rais wako?
 
nazani bado una malaria nne wewe.

Umeona eeeh, mi alikua ananiuliza eti kama nina akili timamu! Kweli? Mimi au yeye ona hapo juu eti anaskia raha watu wanavyo comment hadi anasema kathread kanapaa eeeh!!! Kumbe anaanzisha thread ili tuchangie ndio raha yake tu
 
pole sana na karibu. Next time kunywa ngao mbu wasikuume tena

Ha ha ha, unanikumbusha mmasai mmoja aliyekimbilia kuosha mtalimbo wake kwa kutumia mafuta ya taa baada ya kugundua kuwa amekula tunda la muathirika wa ngoma.
 
Umeona eeeh, mi alikua ananiuliza eti kama nina akili timamu! Kweli? Mimi au yeye ona hapo juu eti anaskia raha watu wanavyo comment hadi anasema kathread kanapaa eeeh!!! Kumbe anaanzisha thread ili tuchangie ndio raha yake tu

Mimi nafarijika kuona kuwa watu wanaonesha sympathy kwa kuugua kwangu lakini siwezi kuwa kama wewe unayechekelea watu kuugua na kufa. Sioni tofauti yako na mwanamama gaidi FaizaFoxy aliyechekelea kifo cha mwanafunzi aliyegongwa.
 
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.

naamini baada ya kupona utakuwa umevua gamba lako for ever
 
Mimi nafarijika kuona kuwa watu wanaonesha sympathy kwa kuugua kwangu lakini siwezi kuwa kama wewe unayechekelea watu kuugua na kufa. Sioni tofauti yako na mwanamama gaidi FaizaFoxy aliyechekelea kifo cha mwanafunzi aliyegongwa.

mwanzoni i thought Mwita25, Rejao, Mzee na Faiza Foxy, ni familia moja
 
Mimi nafarijika kuona kuwa watu wanaonesha sympathy kwa kuugua kwangu lakini siwezi kuwa kama wewe unayechekelea watu kuugua na kufa. Sioni tofauti yako na mwanamama gaidi FaizaFoxy aliyechekelea kifo cha mwanafunzi aliyegongwa.

Acha kunichonganisha na Mods wataka nile BAN ufurahi? Nimekupa pole kibao tangu asubuhi hujaitikia hata moja sasa wataka nikubebe? Uwe na huruma na wenzio pia tunaopoteza muda kubishana na wewe, nikasema naenda ibadani ntakuombea bado hutaki! Kha!!
 
Acha kunichonganisha na Mods wataka nile BAN ufurahi? Nimekupa pole kibao tangu asubuhi hujaitikia hata moja sasa wataka nikubebe? Uwe na huruma na wenzio pia tunaopoteza muda kubishana na wewe, nikasema naenda ibadani ntakuombea bado hutaki! Kha!!

Kwa kitendo chako cha kucheka wagonjwa, ban inakuhusu kwa sana tu leo.
 
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.

Pole sana, fanya haraka uende India, mwenzako Zitto ni malaria tu imempeleka huko. Mbona jana ulikuwepo? ndiyo maana post yako ilikaa ki malaria sugu. LOL.
 
Pole sana, fanya haraka uende India, mwenzako Zitto ni malaria tu imempeleka huko. Mbona jana ulikuwepo? ndiyo maana post yako ilikaa ki malaria sugu. LOL.
faiza mambo vp,pole kwa ban ndugu
 
mwanzoni i thought Mwita25, Rejao, Mzee na Faiza Foxy, ni familia moja

Huyu jamaa alikuja na kathread kake eti kaota ndoto mara kupata fahamu akajikuta GAMBA limevuka!!! Lakini sio wa kuaminika sana
 
Kwa kitendo chako cha kucheka wagonjwa, ban inakuhusu kwa sana tu leo.

Umri wangu wa zaidi miaka mitatu hapa jamvini sijawahi kupata BAN labda sijui ufanyeje, vipi homa inapanda na kushuka? Dada yako kaja kukujulia hali ila naona kaanza na kashfa sijui kwasababu na wewe ulisema kuwa kala BAN? mMmmh haya MWITA
 
Technology has gone crazy nowadays. In a near future, man will perhaps be flying bicycles.
 
Pole mmakonde,kwani wewe hukupewa POLIUM ikupeleke India kama ndugu zangu mnaopanga KUWAUA?
 
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.
Dogo pole sana. ulikuwa na malaria 150 nini na wewe!!.
 
Back
Top Bottom