Leo nimepita maeneo ya Muhimbili Hospital nimenunua barakoa

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,717
Nimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.

Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.

Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?

Akasema,"Mdudu".

Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?

Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.

What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?

You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".
 
Labda wewe kidogo kiswahili kinakupiga chenga, lakini 'mdudu' ni neno alilotumia sahihi la kiswahili.

Mara nyingi mtu akivuta ngozi nyembamba ya pembeni mwa ukucha matokeo yake inakuwa ile sehemu panavimba na ikiwa serious inaweza kutoa usaha. Kwa uraiani aidha unaweka mafuta ya moto ili pasiendelee kuleta maumivu, au kwa siku hizi watu huwa wanakwenda hospitali, panapasuliwa na kusafishwa na kuwekwa dawa (hiyo ni extreme case).

Sasa wewe sijui ulitaka ujibiwe nini hata uridhike.

Pia sielewi huyo Prof Janabi amefikafikaje hapo.
 
Amekujibu vizuri sana mbona? Kuna mdudu huwa anasumbua sana vidoleni, akiingia kwenye kidole kinavimba sana na huwa kinauma mno, yaani mkono unawaka moto.
 
Samahani kama nitakukwaza mimi ni wale wa "low IQ" naomba unieleweshe hapa point yako hasa ni nini, ni hilo jibu la mdudu, kuuziwa barakoa kwa 500 au uongozi wa pro Janabi?
Yaani,this illiterate person amenijibu,"Mdudu". Kwamba inanifanya nijiulize hii barakoa niliyonunua ni salama kiasi gani?
"Mdudu"ni general term. Ni mdudu gani ndio sijui.
 
Ok,labda mimi nimekuwa biased sana kuhusu Profesa Janabi baada ya kumsikiliza Kigogo na Veronica France.
Inaelekea hakuna matatizo kujibiwa"Mdudu".
Huwa nikifikiria magonjwa,what comes quickly to mind ni mafua,au kukohoa,au muscle twitching,au constipation au gastric irritation.
 
Yaani,this illiterate person amenijibu,"Mdudu". Kwamba inanifanya nijiulize hii barakoa niliyonunua ni salama kiasi gani?
"Mdudu"ni general term. Ni mdudu gani ndio sijui.
Ni ugonjwa mara nyingi hutokea kidoleni Yani kidole kinauma mno kinavimba kikizid unaweza hata katwa kidole
Ukikupata huu ugonjwa unaweza andika urithi😀
 

Attachments

  • Screenshot_2023_0502_163225.png
    Screenshot_2023_0502_163225.png
    146.3 KB · Views: 3
Nimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.

Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.

Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?

Akasema,"Mdudu".

Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?

Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.

What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?

You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".
Mdudu ni bacteria, na huyo ana bacteria infection kwenye mkono pengine ndio maana umevimba, hilo neno Huwa wanalitumia sana raia ila ukija hospitali Dr ulimwambia mdudu atakupiga maswali mawili matatu then atakuwa ashajua tatizo ni nini.

Ila hata mm sijaelewa ulitaka kusema nini unaonekana una chuki binafsi na Profesa.
 
Nimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.

Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.

Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?

Akasema,"Mdudu".

Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?

Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.

What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?

You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".
Darasa la kwanza B tunaomba kueleweshwa point hapa
 
Nimenunua barakoa sh. 500. I noticed yule mwanamke anayeuza barakoa mkono wake wa kulia ile middle finger ina bendeji.

Kwa hiyo akawa ananipa barakoa kwa uangalifu sana,in fact amekwenda ndani kuzichukua akaja kunionyesha kwamba anafungua pakti mpya,na ile barakoa nikaichomoa mwenyewe.

Nikamuuliza mkono wake una tatizo gani?

Akasema,"Mdudu".

Nikamuuliza,"Mdudu,vipi"?

Akasema,"Mdudu maana yake mkono unavimba,unapata kidonda,halafu ukipona mambo yanakuwa sawa."
Yaani just like that huyu mwanamke ananijibu,"Mdudu"----such a careless reply. Yule mwanamke siyo muuguzi,naona amevaa kiraia tu.

What I noticed ni kwamba toka ulipokuja uongozi wa Profesa Janabi,vijana wengi kule nje waliokuwa wanauza barakoa wamefukuzwa ili hospitali ichukue responsibility kwa kila barakoa inayouzwa pale. Inakuaje sasa mtu ananiuzia barakoa anasema,"Mdudu"?

You understand what I am driving at, I hope. Mi nautilia mashaka uongozi wa Prof Janabi. Au labda hiyo ni extreme statement. Niseme tu mimi nasikitika kwamba yule mwanamke ameniamibia,"Mdudu".
Ukinunua vocha ya simu uje utueleze ulivyouziwa hatua kwa hatua.Rahisisha maisha yako.
 
Back
Top Bottom