Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Msamehe muendelee kuwalea Wajomba zangu, hizo ni changamoto za shetani tu ila pia you must play your part as a man.
Zina makubwa sanaDaaah hz ndoa hz!!
Wanaume wa dar wana nguvu za kugombea mwendo kasi tu;Mkuu...
Kwakweli leo umeniaibisha sana aiseee............
Au nawewe umehamia Dar kama hawa wanaume wa kisasa![]()
Mke atanijiaje saa 5 usiku...huo nao ni ujinga...fukuza mazima.atakuwa anachepuka tu, hivi mpaka saa 5 hajarudi nyumbani ! da huyo anastahili kipondo tu
Nafikiri haujasoma vizuri post mkuu...amekuja saa 5 bila sababu ya msingi..anaulizwa analeta nyodo...jamaa kaenda kulala akamfuata na kumletea madharau plus matusi....mimi ningeua kabisa.Sifa ya kwanza ya kuwa mume bora ni jinsi unvyo control hasira zako .
We imagine haya maisha boss ana kuudhi bila sababu halafu anakutimua kazi.
Mtu kalewa halafu anaendesha gari na kumgonga mama mjamzito/ mtoto au mtu asie na hatia .
Mzazi anatekeleza watoto wake . Watoto wana gangaama na maisha na kujitoa baadaye huyo mzazi anarudi watoto wangu ooohhh nisaidieni.
Watu wanaoana wako safi miezi kadha mmoja anajikuta na NGOMA na kumuambukiza
Mweza wake . Etc
Sasa hembu we fikiri kila mtu angekuwa na hasira za kipimbavu kama hizo zako dunia ingekuwaje Leo hii ??
Napenda kukusisitiza kumpiga mwanamke ni BIG NO. Kama we kweli ni mwanaume hasa piga ukuta.
Hivi watu wa aina yenu wapo kweli..?!..huwa..napata taabu sana eti umuulize kwanini anachepuka_how..?...akikuambia haunifanyivizuri utafanyeje...?...wanaume wa aina yenu ndio mnasababisha hawa watu watudharau.Usiseme anastahili kipondo... jiulize kwann anachepuka wakati hakua Na tabia hiyoo?? Inaonekana ameanza mda si mrefu. Labda mwanaume ndo tatizo.there must be a very big reason behind
Hakuna cha uchagga wala nini...jamaa ni dhaifu tu...how come mke akujie saa 5 usiku.kaoa mchagga hao ndo zao kwa kiburi
Wewe unajielewa hawa viumbe hawawezi kusumbua.......hahahahahaha..huo sio upole,ni ufala!
...alitakiwa ajieleze kabla ya kumuuliza..
...asingeendeleza ngebe we ungemfulia hadi ch.upi yake alovaa huko alikotoka,blalfuu!
Mkuu....Sipend huu utoto kwenye post zangu pleaseee
SaluteLetting GO!
Haya ni maneno ambayo tangu niambiwe 2010 nayaheshimu sana. Niliambiwa na mentor wangu.
LET GO TO GET MORE.
Letting go doesn't mean you don't love her.
From my own experience: Wakati nilipoanza kumjibu mpenzi (sijaoa bado) wangu vibaya au kumuonesha dharau yoyote ni dhahiri sikuwa nimemweka moyoni mwangu.

Huyu mleta uzi amekuja kutuonyesha jinsi alivyo yogoyogo tu.Hakuna cha uchagga wala nini...jamaa ni dhaifu tu...how come mke akujie saa 5 usiku.
akizingua muongeze nakoz nyingine kwanza alikuwa wapi mpaka 5 usiku....Jamaa yangu kanisimulia;
:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.
Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.
Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.
Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.
Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.
Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.
Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo
Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.
Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.
Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.
Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.
Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?
Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.
Tumpe ushauri wakuu atausoma.