Leo nimepiga mwanamke

Leo nimepiga mwanamke

Be polite and firm brother kamwe usimruhusu mwanamke akakukojolea kiasi hicho hata siku moja.
 
Yan unampiga mkeo na kuja kujisifia jf wewe ni dhaifu na sio mstaarabu na ndio maana huheshimiki ningekua mimi police Ingekhusu hata mwezi mfyujuuuuj
Hujielewi wewe. Hebu waza au fikiria anayefanyiwa hivo ni kaka yako wa kiume.
 
Umefanya vizuri sana kutembeza kichapo. Ndoa yako na ya wazazi wako ni vitu viwili tofauti na treatment ya wake lazima iwe tofauti. Huyo siku nyingine akijibu ovyo mtandike tena ili aelewe kabisa kuwa upepo umeshabadirika na umweleze kabisa kuwa siku ukigundua anachepuka unamtenganmisha kichwa na mwili atashika adabu kudadeki sometimes inabidi nguvu ya ziada itumike ili kutetea familia yako.
Upo sahihi sana kamanda, ilimradi humuonei lkn ukiona ameshindwa kutii sheria bila shurti basi itabidi tu pachimbike kwakweli hakuna namna.
 
Wanaume wa dar wana nguvu za kugombea mwendo kasi tu;
mengine siri yetu.
Mamndenyi asante sana kwa kubainisha haya hahahahahaha.......ila umenifurahisha kwakweli eti 'wana nguvu ya kugombea mwendo kasi tu mengine siri yenu' vumilieni tu my dada.
 
Sasa mwanaume unaachaje kumpiga mkeo?

Haipendezi inapita mwaka mzima hujamweka mkeo hata kangeu bana.
Hahahahahahaha........................jf nayo ina vichwa kwakweli duuuuh! never boring
 
Sijawahi ona hapa kwenye jukwaa mwanaume wa kichaga ananyanyaswa na mwanamke wa kichaga au mwanamke wa kabila lingine. Kimsingi wanaume tofauti na wachaga ni dhaifu mno kila siku ni kuja kulalamika hapa. Kwanza mnaoa wanawake wa kichaga kwa nini? Kama mmeambiwa msioe na mababu zenu sasa mnaoa wa nini? Ukiambiwa usioe mchaga na wewe ukaoa utapigwa tuu.
Hivi wale wanawake waliokuwa wanaenda kenya kukodi midushe walikua wawapi vile? Wanaume wa kichaga hawawezi kuja kulalamiki coz Muda wote wanapiga viroba tu.
 
mwanaume hamtii vizuri mkewe... mke keshakunwa hukoo jamaa, ampandie tu ampe kito. maridhawa kisha aachane nae andelee na taratibu zake za maisha
unapenda kutiiwa vizuri...uje unipepo basi,namie nitie makeke yangu
 
Hapo hamna ukurya ni mwanaume yeyote mwenye akili timamu, ulimchelewsha sanaaaaa, ila malizeni ugomvi na yeye anaelewa kwanini umefanya hivyo.
 
Du saa tano usiku mke bila taarifa alafu anakujibu vibaya.... Ukiona manyoya basi ujue *******
 
Jamaa yangu kanisimulia;

:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.

Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.

Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.

Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.

Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.

Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.

Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo

Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.

Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.

Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.

Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.

Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?

Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.

Tumpe ushauri wakuu atausoma.
ahaha,mkuu husomeki kama ushauri umeomba wewe au rafiki yako,umeongea kama unamquote directly(direct speech) sijui unaongea mwenyewe toka kichwani,unaogopa negative comments humu? Anyway hata ningekuwa mimi ningembamanda tuu hakuna namna.
 
Nafikiri haujasoma vizuri post mkuu...amekuja saa 5 bila sababu ya msingi..anaulizwa analeta nyodo...jamaa kaenda kulala akamfuata na kumletea madharau plus matusi....mimi ningeua kabisa.
Ni mesoma vizuri Sana .
Na ni wanaume wangapi wanaorudi Ma nyumbani mwao Saa sita za usiku ? Au ni sawa Kama ni mwanaume na Si sawa Kama ni mwanamke .

Yakimshinda amwache ya nini kumpiga.
Eti ungeua peleka upuuzi wako huko .
Umesha ua wangapi ? Mnajifanya wanaume
Wa shoka kupiga wake zenu kumbe hamna lolote
Na mnaonyesha jinsi mlicho " weak".
 
Umefanya vizuri kumuadabisha...akileta tena ujinga mpe kelbu moja ya nguvu. Atanyooka tu
 
Jamaa yangu kanisimulia;

:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.

Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.

Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.

Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.

Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.

Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.

Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo

Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.

Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.

Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.

Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.

Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?

Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.

Tumpe ushauri wakuu atausoma.

So what
 
Sifa ya kwanza ya kuwa mume bora ni jinsi unvyo control hasira zako .

We imagine haya maisha boss ana kuudhi bila sababu halafu anakutimua kazi.
Mtu kalewa halafu anaendesha gari na kumgonga mama mjamzito/ mtoto au mtu asie na hatia .
Mzazi anatekeleza watoto wake . Watoto wana gangaama na maisha na kujitoa baadaye huyo mzazi anarudi watoto wangu ooohhh nisaidieni.
Watu wanaoana wako safi miezi kadha mmoja anajikuta na NGOMA na kumuambukiza
Mweza wake . Etc

Sasa hembu we fikiri kila mtu angekuwa na hasira za kipimbavu kama hizo zako dunia ingekuwaje Leo hii ??

Napenda kukusisitiza kumpiga mwanamke ni BIG NO. Kama we kweli ni mwanaume hasa piga ukuta.
Soma post yake kwa umakini,then Vaaa viatu vyake then umpe ushauri tena maana naona hapa nadharia nyingi...ulitaka atukaniwe wazazi akae kimya??
 
Mmmh aisee...

1. Mke wa kutukana mme mbele ya watoto na wageni

2. Mke wa kumuacha mume apikie watoto chakula.

OMG naomba sana Mungu yangu yasifikie huku. Daaah
Aisee unajua hata hvyo alimchelewesha sanaa yote haya hayakuanza overnight.

Binafsi uvumilivu sina lazma angekula kibano kilichoenda shule. Anagongwa makofi ya kutosha tu.

Always in a woman go after the character nd sio uzuri sijui shape. A woman's character says it all. A woman's character tells what she z capable of doing on her worst.

Kuna wanawake hata mkwazane vp hata siku moja hawez kukutusi mbele ya watoto/hadhara. Na kuna namna mwanamke aki behave unajua kabisa hapa mimi ndio tatzo nd i need to sort things out.

Mtangulize Mungu na jaribu kufwatilia nyendo za mkeo.
 
Hivi wale wanawake waliokuwa wanaenda kenya kukodi midushe walikua wawapi vile? Wanaume wa kichaga hawawezi kuja kulalamiki coz Muda wote wanapiga viroba tu.
Zile zilikua propaganda za kisiasa kama hukuelewa.
 
Back
Top Bottom