Leo nimepiga mwanamke

Leo nimepiga mwanamke

Ma group ya whatsapp haya wake zetu wanadanganyana tu ...
 
Sifa ya kwanza ya kuwa mume bora ni jinsi unvyo control hasira zako .

We imagine haya maisha boss ana kuudhi bila sababu halafu anakutimua kazi.
Mtu kalewa halafu anaendesha gari na kumgonga mama mjamzito/ mtoto au mtu asie na hatia .
Mzazi anatekeleza watoto wake . Watoto wana gangaama na maisha na kujitoa baadaye huyo mzazi anarudi watoto wangu ooohhh nisaidieni.
Watu wanaoana wako safi miezi kadha mmoja anajikuta na NGOMA na kumuambukiza
Mweza wake . Etc

Sasa hembu we fikiri kila mtu angekuwa na hasira za kipimbavu kama hizo zako dunia ingekuwaje Leo hii ??

Napenda kukusisitiza kumpiga mwanamke ni BIG NO. Kama we kweli ni mwanaume hasa piga ukuta.

Sitetei kupiga ... Ila kutukaniwa mams inauma sana! Mimi sio mke tu mtu yoyote anitukanie mama yangu.. Tunagombana aisee
 
Sijawahi ona hapa kwenye jukwaa mwanaume wa kichaga ananyanyaswa na mwanamke wa kichaga au mwanamke wa kabila lingine. Kimsingi wanaume tofauti na wachaga ni dhaifu mno kila siku ni kuja kulalamika hapa. Kwanza mnaoa wanawake wa kichaga kwa nini? Kama mmeambiwa msioe na mababu zenu sasa mnaoa wa nini? Ukiambiwa usioe mchaga na wewe ukaoa utapigwa tuu.

Kulikuwa na thread kwamba wanawake wao kule rombo hukodisha wanaume wa kenya! Huo ni udhaifu tosha
 
Back
Top Bottom