Leo nimepiga mwanamke

Leo nimepiga mwanamke

Nyie wakurya wa Dar buana! Yaani mpaka mwanamke anafikia hapo haujawahi kumtia vitasa hata mara 1? Naona ashajua anaishi na mwanamke mwenzie. CC wanaume wa Dar
 
Duuuhh kazi kweli kweli, huenda aliolewa na "MKURYA" kwa mategemeo atakuwa anapokea kipigo kama ishala ya upendo. Wewe hujakidhi Hilo ndio maana anakufanyia vibwanga kama sio vitimbwi.

Kwa kiasi kikubwa naiona "Hekima" katika kuhakikisha UNAJENGA familia bora yenye kujisimamia. Suala la ugomvi au migongano kuipeleka kwa watu kusuluhishwa ni kukaribisha "nyoka" ndani.

Mpe Muda akapumzike kwao huyo migombani au popote penye kumfaa.
 
Huna haja ya ku- report popote. Hatua uliochukua inafaa sana. Tena wewe ni mkurya mstaarabu sana sijawahi kudhania. Big up. NB cha kuzingatia ..
Jitahidi next time usije ukambomoa ukaharibu reception yake tu.
 
Mkeo amesha anza kugawa papuchi nje..ukiwa mpole sana itakula kwako afu kuwa makini anaeza kukuwekea libwata huyo
 
Ndoa changamoto sana.
Najiuliza ningekuwa ni mimi sijui ningefanyaje.
 
Pole sana na matatizo ndugu
hizi ndoa zisikie tu kwenue matarumbeta
Wanawake wanavisa (siyo wote) unakuta mkiwa kitandani anakuambia hana hamu na wewe mara unaninii kubwa anaumia mara unataka papuchi kila siku....ukiangalia simu yake unakutana sms za midi na vijamaa vyake ukiuliza unajbiwa shombo tu ,,,,,,,ukimuambia Mamamkwe anakuambia kama umeona ana wanaume wengine mwache mwanangu hukumzaa wewe,,,,,,,,ivi api mpaka magufuli aje akuambie uyo mke ni jibu????
 
Hakuna cha uchagga wala nini...jamaa ni dhaifu tu...how come mke akujie saa 5 usiku.
Huyo ameshaamua, anajua anachokifanya. She is sending him a message. Read between the lines, my brother.
 
Sasa mwanaume unaachaje kumpiga mkeo?

Haipendezi inapita mwaka mzima hujamweka mkeo hata kangeu bana.
Yaani, asingemuuliza kitu, ingekuwa ni adhabu kubwa mno kuliko alivyompiga. Kupiga inaonyesha kuwa una uwezo mdogo waku deal na matatizo. Be tactical!
 
Jamaa yangu kanisimulia;

:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.

Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.

Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.

Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.

Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.

Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.

Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo

Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.

Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.

Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.

Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.

Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?

Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.

Tumpe ushauri wakuu atausoma.

Mwenzio Koffi alimtandika mcheza Dance wake sasa hivi dunia inajua na yupo mikono salama sema tatizo wewe si maarufu...nakushauri uende naye Airport ama sehemu yenye mikusanyiko umtwange tena...unaweza kuwa binamu yake Koffi Olomide!
 
Jamaa yangu kanisimulia;

:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.

Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.

Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.

Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.

Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.

Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.

Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo

Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.

Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.

Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.

Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.

Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?

Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.

Tumpe ushauri wakuu atausoma.

Wakati mwingine huwa kuna haja ya kuwakumbusha wanawake kuwa wapo chini ya utawala wa kiume na kwa kuhakikisha unalisimamia hili ni lazma uoneshe power yako ya kiume kwa kutembeza kichapo mara tu unapoona kuna ulegevu katika utekelezaji wa amri zako kama kiongozi wa ndani ya nyumba.

Jambo la kiburi ni kawaida kwa wanawake wetu wa kiafrika na huwa wanakitumia kama njia yao nyepesi ya kuonesha kwamba kuna walakini fulani ama katika mahusiano ya kindoa au uchumba!

Mara nyingi chanzo kikubwa cha kiburi huwa ni mwanamke kutoridhishwa kimapenzi kwa muda mrefu ama ile hali ya kupuuzwa bila kujali hisia zake swala inayopelekea ukosefu wa furaha na amani ya moyo wake kila akifikiria jinsi unavyomtendea. Kitu kinachofuata huwa ni maamuzi ya kutafuta furaha yake toka mahala pengine na huwa mbaya sana kama atachagua kuwa na mchepuko kama source yake ya furaha, maana ni mara chache sana mwanamke huchagua kitu kingine kama hobbies zake labda.
Kuna mtu alisema mpende mkeo sana na umtimizie sana haja za moyo wake kabla hajaamua kutoa nafasi ya kutimiziwa hayo na mtu mwingine maana anaweza kukusahau kwa speed ya mwendokasi ukashindwa kuamini macho yako hata kama mnaishi nyumba moja na ni wana ndoa. Wengi hulizwa sana mwanamke anapoanza mabadiliko ya ghafla hivi maana hata wakifanyaga hayo maamuzi ni siri yake binafsi na huwezi jua!

Chanzo kidogo cha hali ya kiburi huwa ni utaratibu uliojijengea kuwa na mazoea sana na mke kiasi cha kwamba anaweza akawa anajisahau na hachagui neno la kukwambia. Lolote laweza mtoka mdomoni hata kama halifai (kejeli,matusi) ila kwa kuwa umejijengea mazoea nae hutamkemea utacheka cheka na kuona sawa tu ni utani mwisho wa siku anazoea na kukuona kama shoga yake wa kike, anakudharau vibaya mno mwishowe hata ukitoa amri haziskilizwi tena. Zaidi mtaishia kupingana ngumi kama hivyo.
Ndugu yangu usijisahau kwamba wewe ni kidume na kiongozi always, utani sawa ila sio wa lugha za kejeli na nyinginezo zisizofaa. Hakuna kitu kinacho turnoff mwanamke wa kiafrika kama mwanaume anayeisahau nafasi yake ama anaesomeka akili yake kirahisi na hii huwa rahisi mazoea yakizidi. Mwanamke mfanye rafiki ila ni lazima ujiwekee mipaka kama mwanaume na hii ni kutoruhusu mazoea yaliopitiliza kama nilivyoanisha hapo juu. Mke hatakiwi kuisoma akili yako yote la sivyo utapata shida na mwisho atatoka kutafuta mtu anayeweza kumuongoza vyema huko nje.

mfano wa kauli:-
1.Halafu baba jenny we nawe mmbeyaaaa, ilooooh!
2.Unapenda kudeka kama mwanamke...kioneee!
3.We nawe msumbufu sasa si uchukue mwenyewe maji ya kunywa!
4.Woii kwendraa zako huko, huna lolote teh teh!!!
5.teh teh... hebu achana na mimi uko!

Kwa hayo machache huenda yanaweza kukufungulia pazia uone shida iko wapi mkuu Baba yenu
 
Lazima kutakuwa na sababu za kuwa na kiburi kiasi hicho mfano kuchepuka, kwasababu haiwezekani mke wa ndoa kurudi saa tano za usiku halafu umuulize na kuleta jeuri kiasi hicho, fanya uchunguzi zaidi
 
Wakati mwingine huwa kuna haja ya kuwakumbusha wanawake kuwa wapo chini ya utawala wa kiume na kwa kuhakikisha unalisimamia hili ni lazma uoneshe power yako ya kiume kwa kutembeza kichapo mara tu unapoona kuna ulegevu katika utekelezaji wa amri zako kama kiongozi wa ndani ya nyumba.

Jambo la kiburi ni kawaida kwa wanawake wetu wa kiafrika na huwa wanakitumia kama njia yao nyepesi ya kuonesha kwamba kuna walakini fulani ama katika mahusiano ya kindoa au uchumba!

Mara nyingi chanzo kikubwa cha kiburi huwa ni mwanamke kutoridhishwa kimapenzi kwa muda mrefu ama ile hali ya kupuuzwa bila kujali hisia zake swala inayopelekea ukosefu wa furaha na amani ya moyo wake kila akifikiria jinsi unavyomtendea. Kitu kinachofuata huwa ni maamuzi ya kutafuta furaha yake toka mahala pengine na huwa mbaya sana kama atachagua kuwa na mchepuko kama source yake ya furaha, maana ni mara chache sana mwanamke huchagua kitu kingine kama hobbies zake labda.
Kuna mtu alisema mpende mkeo sana na umtimizie sana haja za moyo wake kabla hajaamua kutoa nafasi ya kutimiziwa hayo na mtu mwingine maana anaweza kukusahau kwa speed ya mwendokasi ukashindwa kuamini macho yako hata kama mnaishi nyumba moja na ni wana ndoa. Wengi hulizwa sana mwanamke anapoanza mabadiliko ya ghafla hivi maana hata wakifanyaga hayo maamuzi ni siri yake binafsi na huwezi jua!

Chanzo kidogo cha hali ya kiburi huwa ni utaratibu uliojijengea kuwa na mazoea sana na mke kiasi cha kwamba anaweza akawa anajisahau na hachagui neno la kukwambia. Lolote laweza mtoka mdomoni hata kama halifai (kejeli,matusi) ila kwa kuwa umejijengea mazoea nae hutamkemea utacheka cheka na kuona sawa tu ni utani mwisho wa siku anazoea na kukuona kama shoga yake wa kike, anakudharau vibaya mno mwishowe hata ukitoa amri haziskilizwi tena. Zaidi mtaishia kupingana ngumi kama hivyo.
Ndugu yangu usijisahau kwamba wewe ni kidume na kiongozi always, utani sawa ila sio wa lugha za kejeli na nyinginezo zisizofaa. Hakuna kitu kinacho turnoff mwanamke wa kiafrika kama mwanaume anayeisahau nafasi yake ama anaesomeka akili yake kirahisi na hii huwa rahisi mazoea yakizidi. Mwanamke mfanye rafiki ila ni lazima ujiwekee mipaka kama mwanaume na hii ni kutoruhusu mazoea yaliopitiliza kama nilivyoanisha hapo juu. Mke hatakiwi kuisoma akili yako yote la sivyo utapata shida na mwisho atatoka kutafuta mtu anayeweza kumuongoza vyema huko nje.

mfano wa kauli:-
1.Halafu baba jenny we nawe mmbeyaaaa, ilooooh!
2.Unapenda kudeka kama mwanamke...kioneee!
3.We nawe msumbufu sasa si uchukue mwenyewe maji ya kunywa!
4.Woii kwendraa zako huko, huna lolote teh teh!!!
5.teh teh... hebu achana na mimi uko!

Kwa hayo machache huenda yanaweza kukufungulia pazia uone shida iko wapi mkuu Baba yenu
mzee mwenzangu umenifungua akili ila dah umeifunga sana hii post imeniwia vigumu sana kuielewa...
 
Ndio tabu yetu akiwa mpole unampanda kichwani umvuruge akiwa mkorofi unavumiliwa uonewe huruma hivi wanawake tukoje?.
 
pole sana kwa kilichokupata lakini nadhani kama ni mwanamke muelewa amekuelewa kuwa jambo alilolifanya limekuudhi hivyo amepata funzo kuu. ninachokuomba ni kumsamehe na muendeleze maisha kwani watoto kulelewa na watu wengine ni jambo la fedheha sana kwa watoto....nipo upande wako tatizo la familia si la kupeleka mahala popte kusuruhisha kama ulivyowaacha baba na mama yako ukajenga familia yako hakikisha na matatizo yako unayatatua mwenyewe. hali imebadilika sana unaweza ukaenda kwa ndugu kusuruhisha tatizo lako la kifamilia jioni ukalikuta tatizo lako limebandikwa kama post humu jamiiforums.
 
Mwache alie usimbembeleze..aje aombe msamaha. Sipendi mwanamke akipigwa lakini kama ni kweli kakutukana na kukujibu kunya ni sawa tu.
 
Yan unampiga mkeo na kuja kujisifia jf wewe ni dhaifu na sio mstaarabu na ndio maana huheshimiki ningekua mimi police Ingekhusu hata mwezi mfyujuuuuj
 
Back
Top Bottom