haha acha umbeya
hahahaNdoa changamoto sana.
Najiuliza ningekuwa ni mimi sijui ningefanyaje.
Huyo ameshaamua, anajua anachokifanya. She is sending him a message. Read between the lines, my brother.Hakuna cha uchagga wala nini...jamaa ni dhaifu tu...how come mke akujie saa 5 usiku.
Yaani, asingemuuliza kitu, ingekuwa ni adhabu kubwa mno kuliko alivyompiga. Kupiga inaonyesha kuwa una uwezo mdogo waku deal na matatizo. Be tactical!Sasa mwanaume unaachaje kumpiga mkeo?
Haipendezi inapita mwaka mzima hujamweka mkeo hata kangeu bana.
Jamaa yangu kanisimulia;
:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.
Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.
Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.
Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.
Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.
Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.
Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo
Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.
Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.
Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.
Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.
Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?
Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.
Tumpe ushauri wakuu atausoma.
Jamaa yangu kanisimulia;
:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika familia yenye upendo na amani.Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawahi kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.
Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo.
Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba mpole na mpenda familia yangu, nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu.
Kwa siku za karibuni mke wangu amekuwa na kiburi sana jamani, ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.
Nimeshamkanya sana anahidi kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo.
Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuluhishwa kwa sababu naamini mnapakuwa wamoja basi ni vizuri mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala.
Akanikuta sebuleni naangalia TV huku namsubiri nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo
Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwezi kuelezea nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala.
Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu mpaka akafikia kunitukania wazazi nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.
Alipoinuka akaja ili tupambane, aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana yeye ndo anazidisha.Mpaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.
Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawahi ripoti mabadiliko yake kwa yoyote.
Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?
Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia.
Tumpe ushauri wakuu atausoma.
hakuna kazi rais kama kukosoa...Ushauri gani huu?wewe huna hata mke moja
mzee mwenzangu umenifungua akili ila dah umeifunga sana hii post imeniwia vigumu sana kuielewa...Wakati mwingine huwa kuna haja ya kuwakumbusha wanawake kuwa wapo chini ya utawala wa kiume na kwa kuhakikisha unalisimamia hili ni lazma uoneshe power yako ya kiume kwa kutembeza kichapo mara tu unapoona kuna ulegevu katika utekelezaji wa amri zako kama kiongozi wa ndani ya nyumba.
Jambo la kiburi ni kawaida kwa wanawake wetu wa kiafrika na huwa wanakitumia kama njia yao nyepesi ya kuonesha kwamba kuna walakini fulani ama katika mahusiano ya kindoa au uchumba!
Mara nyingi chanzo kikubwa cha kiburi huwa ni mwanamke kutoridhishwa kimapenzi kwa muda mrefu ama ile hali ya kupuuzwa bila kujali hisia zake swala inayopelekea ukosefu wa furaha na amani ya moyo wake kila akifikiria jinsi unavyomtendea. Kitu kinachofuata huwa ni maamuzi ya kutafuta furaha yake toka mahala pengine na huwa mbaya sana kama atachagua kuwa na mchepuko kama source yake ya furaha, maana ni mara chache sana mwanamke huchagua kitu kingine kama hobbies zake labda.
Kuna mtu alisema mpende mkeo sana na umtimizie sana haja za moyo wake kabla hajaamua kutoa nafasi ya kutimiziwa hayo na mtu mwingine maana anaweza kukusahau kwa speed ya mwendokasi ukashindwa kuamini macho yako hata kama mnaishi nyumba moja na ni wana ndoa. Wengi hulizwa sana mwanamke anapoanza mabadiliko ya ghafla hivi maana hata wakifanyaga hayo maamuzi ni siri yake binafsi na huwezi jua!
Chanzo kidogo cha hali ya kiburi huwa ni utaratibu uliojijengea kuwa na mazoea sana na mke kiasi cha kwamba anaweza akawa anajisahau na hachagui neno la kukwambia. Lolote laweza mtoka mdomoni hata kama halifai (kejeli,matusi) ila kwa kuwa umejijengea mazoea nae hutamkemea utacheka cheka na kuona sawa tu ni utani mwisho wa siku anazoea na kukuona kama shoga yake wa kike, anakudharau vibaya mno mwishowe hata ukitoa amri haziskilizwi tena. Zaidi mtaishia kupingana ngumi kama hivyo.
Ndugu yangu usijisahau kwamba wewe ni kidume na kiongozi always, utani sawa ila sio wa lugha za kejeli na nyinginezo zisizofaa. Hakuna kitu kinacho turnoff mwanamke wa kiafrika kama mwanaume anayeisahau nafasi yake ama anaesomeka akili yake kirahisi na hii huwa rahisi mazoea yakizidi. Mwanamke mfanye rafiki ila ni lazima ujiwekee mipaka kama mwanaume na hii ni kutoruhusu mazoea yaliopitiliza kama nilivyoanisha hapo juu. Mke hatakiwi kuisoma akili yako yote la sivyo utapata shida na mwisho atatoka kutafuta mtu anayeweza kumuongoza vyema huko nje.
mfano wa kauli:-
1.Halafu baba jenny we nawe mmbeyaaaa, ilooooh!
2.Unapenda kudeka kama mwanamke...kioneee!
3.We nawe msumbufu sasa si uchukue mwenyewe maji ya kunywa!
4.Woii kwendraa zako huko, huna lolote teh teh!!!
5.teh teh... hebu achana na mimi uko!
Kwa hayo machache huenda yanaweza kukufungulia pazia uone shida iko wapi mkuu Baba yenu